VIDEO: ZARI aingia bongo kimya kimya kusaini Deal na Keds

VIDEO: ZARI aingia bongo kimya kimya kusaini Deal na Keds

Ndo na mimi nashangaa .... ndo maana anapata guts za kuwatukana wabongo sababu ni wajinga !!!!!
Am not a hater , but this is too much hakuna nchi utaenda afu mgen ukapewa deal /priority wazawa wakaachwa yaaani over all mastaa wa bongo wakaona bora wamtoe zari south ambae ni mganda aje asign deal bongo ptuuuuu ,kwani bongo hamna staa aliye zaa ? Hii kali aisee .....: ndo kila siku anapata guts za kutukana /vijembe kwa wabongo na mijitu bado inajipendekeza kwake .
diamond kapata dili safari com na turkish air kwann yeye naye ni mkenya au mturuki
 
Ndo na mimi nashangaa .... ndo maana anapata guts za kuwatukana wabongo sababu ni wajinga !!!!!
Am not a hater , but this is too much hakuna nchi utaenda afu mgen ukapewa deal /priority wazawa wakaachwa yaaani over all mastaa wa bongo wakaona bora wamtoe zari south ambae ni mganda aje asign deal bongo ptuuuuu ,kwani bongo hamna staa aliye zaa ? Hii kali aisee .....: ndo kila siku anapata guts za kutukana /vijembe kwa wabongo na mijitu bado inajipendekeza kwake .
Una ufahamu wowote kuhusu haya mambo, huwajui Watanzania ambao ni mabalozi wa makampuni ambayo sio ya Kitanzania?
 
Kampuni ya keds sio serikali uzalendo peleka serikalini yaani unataka awaite akina wema,mobeto ??

Haupo serious ..zari ana influence afrika mashariki na south africa na hii kampuni haitegemei wanunuzi TZ mpaka nje ya mipaka


Mbona akina rihanna na wasanii wengi huenda kufanya matangazo nchi zingine

Muache awe na guts sababu ana akili na anajielewa na ni business woman

Huwezi kumpa mtu ambaye sio business woman dili kisa tu ana msambwanda jiulize kwann zari Africa kusini ,Tz,Kenya ,Uganda kote anatumiwa halafu njoo ujiulize kwann hao WaTz kwao tu makampuni makubwa haiwatumii

Business ili afanikiwe lazima upitie kanuni zake na moja ya kanuni ni advertisement ,zari ni asset East Africa na southern Africa

Muache zari awe na guts ya kuwa na kiburi......endeleeni kuchezesha makalio


Mbona wakati anatembea na mbongo hukusifia


Jiulize mbona mondi kapewa dili kuwa balozi wa beer ya rickross Africa sabb ana exposure kubwa
[emoji106]
 
Zari ni Malaya, aliingia mkataba na MONDI wa kukaa pamoja kwa muda, na ilipofika time dogo akaambiwa ajichanganye ili wazue mgogoro kwani wangeachana bila sababu basi Zari heshima ingeshuka ingeonekana ni malaya anajiuza. Zari hana toafuti na wale wa kindoni ila yeye kajiwekea profile ya umalaya wa hali ya juu.
Kakufanya nini huyo Zari hadi umtolee maneno machafu kiasi hicho?!
 
mond umezingua sana kumsaliti zari, hao akina wema watakufikisha wapi na ubongo wa akili zao umejaa makohozi ya ccm
Akili ya Tandale unailzimisha kuwaza mbali?
Hizi ndizo akili za watu kama mrisho ngasa!Anapata dili Sudan anawada mademu wake wa tandale
 
Staa yupi kwa mfano?wema,tunda,wolper au?
Ndo na mimi nashangaa .... ndo maana anapata guts za kuwatukana wabongo sababu ni wajinga !!!!!
Am not a hater , but this is too much hakuna nchi utaenda afu mgen ukapewa deal /priority wazawa wakaachwa yaaani over all mastaa wa bongo wakaona bora wamtoe zari south ambae ni mganda aje asign deal bongo ptuuuuu ,kwani bongo hamna staa aliye zaa ? Hii kali aisee .....: ndo kila siku anapata guts za kutukana /vijembe kwa wabongo na mijitu bado inajipendekeza kwake .
 
29417774_1833286800297912_8702584411578695680_n.jpg
29404180_1904237779887490_1558915653472092160_n.jpg
29093629_720217785035174_3716849841666523136_n.jpg
 
Ndo na mimi nashangaa .... ndo maana anapata guts za kuwatukana wabongo sababu ni wajinga !!!!!
Am not a hater , but this is too much hakuna nchi utaenda afu mgen ukapewa deal /priority wazawa wakaachwa yaaani over all mastaa wa bongo wakaona bora wamtoe zari south ambae ni mganda aje asign deal bongo ptuuuuu ,kwani bongo hamna staa aliye zaa ? Hii kali aisee .....: ndo kila siku anapata guts za kutukana /vijembe kwa wabongo na mijitu bado inajipendekeza kwake .
Mwanamke (read influencer) ambae angeweza kuwa na commercial influencing power kwa Tz ni Wema!

Sasa kama wewe ni director au marketing director wa kampuni husika; hivi ungeweza kumpa mtu kama Wema ubalozi?!

Unaweza kumpa mtu kama Jokate ubalozi wa bidhaa za watoto wakati c ajabu hata ku-change pampers kwenyewe hajui!!

Kwanza kuna vitu vingine hata ukifanya, havi-make sense kabisa!!

Maybe Hamisa lakini sioni kama Hamisa ana loyal fan base kubwa kumlinganisha na Zari! Sana sana ninachokiona kwenye Instagram account yake ni more of Zari's haters kuliko loyal fans!

So, nothing personal; it's business! Sema muhimu ndo hiyo; je, ana work permit!!
 
Proudly Tanzania.

Wema sepetu

1. miss in Tanzania since 2006
2.Business woman
3. Owner of ENDLESS FRAME company.
4. A mother of two children.
5. Net worth is about $ 1.5 milion us dollar.


[emoji1] [emoji23] [emoji119]
 
Zari ni Malaya, aliingia mkataba na MONDI wa kukaa pamoja kwa muda, na ilipofika time dogo akaambiwa ajichanganye ili wazue mgogoro kwani wangeachana bila sababu basi Zari heshima ingeshuka ingeonekana ni malaya anajiuza. Zari hana toafuti na wale wa kindoni ila yeye kajiwekea profile ya umalaya wa hali ya juu.
Malaya alikuuzia lini na wapi? Acha wivu mtu, hata umuiteje haitamwondolea Nyota na Uzuri aliopewa na Muumba. Dada anajitambua na kama na Malaya anauza kwa Right Clients: wanaoweza kumpandisha ndege na kwenda atakako, mavazi bora, Vipodozi, wanaoweza kutunza watoto wake na kuwapatia elimu bora na shule bora. Siyo Clients wa kutoa fedha ya Vocha! Zarina nakupenda hadi naumwa! Songa mbele mama piga kazi haters wasikurudishe nyuma.
 
Huyu mkewe Sugu ndio angepewa hili tangazo, maana yeye angevaa hizo diapers kabisa, na kwenda nazo kupiga misele mjini.
 
Mkuu, dau lake hata bei ya baiskeli haifiki we uuze nyumba? Unahitaji maombi ya kanisani na msikitini, kisha upewe kikombe cha babu unywe.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom