Bravo East Africa mwenye nacho huongezewa goo zari Mungu atazidi kukubaliki wale watoto yatima wa ivan utawalea kwa uwezo wa Mungu milango izidi kufunguka milele amen!
Ukiachana na East africa union Pia umezaa watoto wawili na mtanzania nillan na latifa wenye wivu na vijiba na roho mbaya am soreeeee
[HASHTAG]#mpewa[/HASHTAG] hapokonyeki#
Ana kila sababu kupata tangazo la pempars kazaa watoto 6 na bado yuko safii.