yello masai
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 3,662
- 3,715
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe ndo umenifanya niifungue hiyo video. Nilikuwa nshaipotezeaBila Diamond huyu ni bure tu,
Eti anajitembeza kwa speed kama anakimbizwa na waandishi wa habari.
diamond kapata dili safari com na turkish air kwann yeye naye ni mkenya au mturukiNdo na mimi nashangaa .... ndo maana anapata guts za kuwatukana wabongo sababu ni wajinga !!!!!
Am not a hater , but this is too much hakuna nchi utaenda afu mgen ukapewa deal /priority wazawa wakaachwa yaaani over all mastaa wa bongo wakaona bora wamtoe zari south ambae ni mganda aje asign deal bongo ptuuuuu ,kwani bongo hamna staa aliye zaa ? Hii kali aisee .....: ndo kila siku anapata guts za kutukana /vijembe kwa wabongo na mijitu bado inajipendekeza kwake .
Una ufahamu wowote kuhusu haya mambo, huwajui Watanzania ambao ni mabalozi wa makampuni ambayo sio ya Kitanzania?Ndo na mimi nashangaa .... ndo maana anapata guts za kuwatukana wabongo sababu ni wajinga !!!!!
Am not a hater , but this is too much hakuna nchi utaenda afu mgen ukapewa deal /priority wazawa wakaachwa yaaani over all mastaa wa bongo wakaona bora wamtoe zari south ambae ni mganda aje asign deal bongo ptuuuuu ,kwani bongo hamna staa aliye zaa ? Hii kali aisee .....: ndo kila siku anapata guts za kutukana /vijembe kwa wabongo na mijitu bado inajipendekeza kwake .
Ohooooo!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haa haaa ila ujue matako yanaleta mapato mazuri sana kama yako kiwango .. Si unajua tena mambo ya kwenda uani ..!! πππ
[emoji106]Bravo East Africa mwenye nacho huongezewa goo zari Mungu atazidi kukubaliki wale watoto yatima wa ivan utawalea kwa uwezo wa Mungu milango izidi kufunguka milele amen!
[emoji106]Kampuni ya keds sio serikali uzalendo peleka serikalini yaani unataka awaite akina wema,mobeto ??
Haupo serious ..zari ana influence afrika mashariki na south africa na hii kampuni haitegemei wanunuzi TZ mpaka nje ya mipaka
Mbona akina rihanna na wasanii wengi huenda kufanya matangazo nchi zingine
Muache awe na guts sababu ana akili na anajielewa na ni business woman
Huwezi kumpa mtu ambaye sio business woman dili kisa tu ana msambwanda jiulize kwann zari Africa kusini ,Tz,Kenya ,Uganda kote anatumiwa halafu njoo ujiulize kwann hao WaTz kwao tu makampuni makubwa haiwatumii
Business ili afanikiwe lazima upitie kanuni zake na moja ya kanuni ni advertisement ,zari ni asset East Africa na southern Africa
Muache zari awe na guts ya kuwa na kiburi......endeleeni kuchezesha makalio
Mbona wakati anatembea na mbongo hukusifia
Jiulize mbona mondi kapewa dili kuwa balozi wa beer ya rickross Africa sabb ana exposure kubwa
Akikupa jibu fanya kun tag.diamond kapata dili safari com na turkish air kwann yeye naye ni mkenya au mturuki
Kakufanya nini huyo Zari hadi umtolee maneno machafu kiasi hicho?!Zari ni Malaya, aliingia mkataba na MONDI wa kukaa pamoja kwa muda, na ilipofika time dogo akaambiwa ajichanganye ili wazue mgogoro kwani wangeachana bila sababu basi Zari heshima ingeshuka ingeonekana ni malaya anajiuza. Zari hana toafuti na wale wa kindoni ila yeye kajiwekea profile ya umalaya wa hali ya juu.
Akili ya Tandale unailzimisha kuwaza mbali?mond umezingua sana kumsaliti zari, hao akina wema watakufikisha wapi na ubongo wa akili zao umejaa makohozi ya ccm
Ndo na mimi nashangaa .... ndo maana anapata guts za kuwatukana wabongo sababu ni wajinga !!!!!
Am not a hater , but this is too much hakuna nchi utaenda afu mgen ukapewa deal /priority wazawa wakaachwa yaaani over all mastaa wa bongo wakaona bora wamtoe zari south ambae ni mganda aje asign deal bongo ptuuuuu ,kwani bongo hamna staa aliye zaa ? Hii kali aisee .....: ndo kila siku anapata guts za kutukana /vijembe kwa wabongo na mijitu bado inajipendekeza kwake .
Mwanamke (read influencer) ambae angeweza kuwa na commercial influencing power kwa Tz ni Wema!Ndo na mimi nashangaa .... ndo maana anapata guts za kuwatukana wabongo sababu ni wajinga !!!!!
Am not a hater , but this is too much hakuna nchi utaenda afu mgen ukapewa deal /priority wazawa wakaachwa yaaani over all mastaa wa bongo wakaona bora wamtoe zari south ambae ni mganda aje asign deal bongo ptuuuuu ,kwani bongo hamna staa aliye zaa ? Hii kali aisee .....: ndo kila siku anapata guts za kutukana /vijembe kwa wabongo na mijitu bado inajipendekeza kwake .
Haya majibu yamekaa vizuri. Haiwezekani Kampuni kuharibu Brand yake kwa kutangaza na wasiokuwa na maadili katika jamii. Hii roho mbaya kwa Zarina imetoka wapi mama watoto wetu?
Malaya alikuuzia lini na wapi? Acha wivu mtu, hata umuiteje haitamwondolea Nyota na Uzuri aliopewa na Muumba. Dada anajitambua na kama na Malaya anauza kwa Right Clients: wanaoweza kumpandisha ndege na kwenda atakako, mavazi bora, Vipodozi, wanaoweza kutunza watoto wake na kuwapatia elimu bora na shule bora. Siyo Clients wa kutoa fedha ya Vocha! Zarina nakupenda hadi naumwa! Songa mbele mama piga kazi haters wasikurudishe nyuma.Zari ni Malaya, aliingia mkataba na MONDI wa kukaa pamoja kwa muda, na ilipofika time dogo akaambiwa ajichanganye ili wazue mgogoro kwani wangeachana bila sababu basi Zari heshima ingeshuka ingeonekana ni malaya anajiuza. Zari hana toafuti na wale wa kindoni ila yeye kajiwekea profile ya umalaya wa hali ya juu.
ππππHuyu mkewe Sugu ndio angepewa hili tangazo, maana yeye angevaa hizo diapers kabisa, na kwenda nazo kupiga misele mjini.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu, dau lake hata bei ya baiskeli haifiki we uuze nyumba? Unahitaji maombi ya kanisani na msikitini, kisha upewe kikombe cha babu unywe.