Video: Zitto Kabwe akiunga mkono faragha za watu hata kama ni ushoga ulipigwa marufuku kisheria

Video: Zitto Kabwe akiunga mkono faragha za watu hata kama ni ushoga ulipigwa marufuku kisheria

Kuna dada mmoja mtangazaji
Wa radio moja maarufu ana kibar
Naona majirani walimpigia kelele maana pub yake wanajaa mashg
Na akivunga mtaa na anawekaaga kigodoro basi balaaa
Nasikia majirani wamechemka
Mtangazaj mwenye pub ana nguvu baraka kutoka juu si unajua selebreti tena [emoji1]

Ova
Mashoga wana tatizo gani? Sasa huko Pub au Bar kosa ni lipii? Waachwe wa enjoy bhana.
 
Tena hawa wanaojifanya kuchunguza faragha za watu ni mashetani kweli kweli. Hivi mtu anayeiba fedha ya hospital na watu wakafa kwa kukosa dawa na shoga ni nani shetani zaidi? Kwenye mambo ya ushoga hata mimi siwezi kuingilia faragha za watu vyumbani mwao. Mbona wapo wanaume wengi tu wanalawiti wanawake, kwani wana tofauti gani?
Hapoo sasa, Wabongo UNAFIKI unawasumbua.
 
Zitto yuko sahihi sana.

Waandishi wengi wa Tanzania wanaohoji wanasiasa kuhusu masuala ya Ushoga, hufanya hivyo kwa lengo la kutengeneza tension za kisiasa tu, lakini hakuna nia ya dhati ya kupambana na ushoga.
 
I doubt, kwenye proposal zao nyingi za kupata funding wamejicommit kulinda faragha za watu otherwise uzi wa fantasy ungeshafutwa [emoji1787][emoji1787].
Kwa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila sasa ukizungumzia LGBTQ wanafuta, mmmh
 
Kwa kweli, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila sasa ukizungumzia LGBTQ wanafuta, mmmh
Bongo unafiki muhimu, ukionyesha upande usishangae ikafungiwa mazima. JPM mwenyewe na ubabe wake ila alimruka makonda alipokua anakamata LGBT.

Unafiki bongo mwingi na cha ajabu wanaopinga unakuta nao ni wadau au wanageuza wake zao!!
 
Swali linatakiwa liwe na mitego baada ya kugundua kila mpenda democracy anaunga mkono usawa wa kijinsia ambamo ndani yake ndo kuna ushoga.

Swali liwe hivi:-
Ukiachia mbali juu ya kuheshimu faragha za watu nini maoni yako juu ya kukubali au kukataa mambo ushoga na ujumla wake
Tegemea kupata jibu lenye bias. Unauliza open ended question alafu unalimit scope ya jibu

You are not behaviural scientist as well
 
Sasa wanawafundisha watoto wasio na hatia mashuleni utamu wa faragha.
Hakuna anayefundisha ushoga wanafundishwa uhalisia wa hali ya sasa. Hii inasaidia sana wao kujua waamue nini kuliko hawa wakwetu wanaishia kujifunza mitandaoni au kusikia vijiwe vya kahawa ndio wanakua curious.

Sisi kama wazazi ni vizuri kuwaweka aware watoto kuhusu uhalisia ili akikutana nayo afanye maamuzi yaliyo informed sio ya kusikia mtaani au kuona youtube.

Mfano huko mtaani wanasema mwanamke akifanya anal sex anaongezeka shepu!! so mtu anaweza fanya na mme wake kisa misinformation. Ila wazazi wakiweka wazi mabinti kuwa kuna anal sex siku hizi na uhalisia ni A Na B. Mtu akifanya au asifanye but anakua na informed decisions.
 
Kuna malezi ya kifamilia ambayo wanawajibika walezi.
Pia kuna malezi ya kijamii ambapo inawajibika jamii nzima.
Sio rahisi kulea watoto na kuwaongoza kwenye maadili mema kwenye jamii iliyoharibika.
Ushoga sio public trouble, Sheria zinazokinzana n mashoga zinaakisi kulinda na kusimamia maslahi ya mwanaume. Image ya mwanaume.. kwa sasa hiv Afrika nzima inareakt sabab ya moral codes za masculinity

Although Afrika Bado tupo kwenye Cultural transition
 
Mwanaume Kutikisa na kutetemesha makalio kwa kisingizio cha kucheza mziki tiktok
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii inachekesha sana ....kwani umesahau kuwa siku hizi ngoma zetu za asili zimetengenezwa kuwa wanaume wanashindana na wanawake kukatika mauno [emoji1787][emoji1787] ndiyo maana mimi sipendi ngoma za utamaduni ....naamini kuwa siyo za kweli ...siyo kweli kuwa zamani wanaume wa kiafrica walikuwa wana cheza ngoma kwa kukatika kama wanawake hapo pana upotoshaji wa mila [emoji1]
 
Mwanaume Kutikisa na kutetemesha makalio kwa kisingizio cha kucheza mziki tiktok
Pia nakumbuka comedi za kina joti zilikuwa zinaitwaje sikumbuki ...ila walikuwa wanavaa na kuigiza kama wanawake tena vipindi vinarushwa kwenye tv ya taifa kabisa
 
Zitto Kabwe akihojiwa na Edwin Odemba katika kipindi cha medani za siasa, amesema anaheshimu faragha za watu wote. Hii ni baada ya kuhojiwa kama yupo tayari kuitangazia dunia kuwa anaupinga ushoga.

View attachment 2815486

==

Yaliyozungumzwa ktk video hiyo.

Edwin Odemba alimuuliza Zitto Kabwe kama yupo tayari kuitangazia dunia kuwa anapinga ushoga. Zitto akasema "Nipo tayari kuitangazia dunia kuwa naheshimu faragha za watu". Odemba akabadili swali kwa kusema Zitto anakubaliana na ushoga. Zitto akajibu naheshimu faragha za watu
Sasa kinachokushangaza ni nini mleta hoja?

Hilo ndilo jibu sahihi kwa sababu hayo mambo ni kweli kuwa ni ya faragha ya mtu binafsi..

Ushoga na usagaji ni kosa la kimaadili na ni tamaa za mwili za watu..

Na inakuwa kosa baya kisheria na kwa macho na sheria za kibinadamu kama watu watafanya hadharani huku wakikihalalisha kitendo hicho..

Lakini Je, nani anajua yanayotendeka kwenye nyumba na vyumba vya watu? Bila shaka ni Mungu muumba pekee aonaye sirini na yeye ndiye ataksyehukumu hayo ya sirini...!
 
Sasa kinachokushangaza ni nini mleta hoja?

Hilo ndilo jibu sahihi kwa sababu hayo mambo ni kweli kuwa ni ya faragha ya mtu binafsi..

Ushoga na usagaji ni kosa la kimaadili na ni tamaa za mwili za watu..

Na inakuwa kosa baya kisheria na kwa macho na sheria za kibinadamu kama watu watafanya hadharani huku wakikihalalisha kitendo hicho..

Lakini Je, nani anajua yanayotendeka kwenye nyumba na vyumba vya watu? Bila shaka ni Mungu muumba pekee aonaye sirini na yeye ndiye ataksyehukumu hayo ya sirini...!
Pumbavu. Huna akili
 
Zitto Kabwe akihojiwa na Edwin Odemba katika kipindi cha medani za siasa, amesema anaheshimu faragha za watu wote. Hii ni baada ya kuhojiwa kama yupo tayari kuitangazia dunia kuwa anaupinga ushoga.

View attachment 2815486

==

Yaliyozungumzwa ktk video hiyo.

Edwin Odemba alimuuliza Zitto Kabwe kama yupo tayari kuitangazia dunia kuwa anapinga ushoga. Zitto akasema "Nipo tayari kuitangazia dunia kuwa naheshimu faragha za watu". Odemba akabadili swali kwa kusema Zitto anakubaliana na ushoga. Zitto akajibu naheshimu faragha za watu
Ili kuchokonoa ukweli zaidi kuhusu msimamo wake huo, Odemba angaliweza pia kuchimba zaidi kwa kumuuliza swali lingine kuwa ataheshimu faragha hiyo ya mahusiano ya kishoga hata kama yanamuhusu mtoto wake wa kumzaa, ndugu yake wa kuzaliwa, ama hata kwa mzazi wake?
 
ALimtosa mwenzake aliyetaka kufunga bao dakika ya 89:59
Saivi hatuko naye tena... Alionywa hakawa na kichwa kikubwa, wakaombwa Maaskofu wamuombe atulie yeye akawananga hadharani na kasema anahitaji 6B yake....

Hakuelewa kuwa haelewi kitu, wakamdanganya kuwa 'wewe ni kachelo mbobevu' kumbe Dunia ishabadilika pakubwa-Hakutambua wakati uliofaa!
 
Back
Top Bottom