Hilo Jamaa jinga sana.Na hata wakirudi wananufaika zaidi wao na sio wewe unaetukana kwa niaba yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo Jamaa jinga sana.Na hata wakirudi wananufaika zaidi wao na sio wewe unaetukana kwa niaba yao
Kwa hiyo unaishauli nini CCM?Ila mwisho wa siku, ukweli ni kwamba Wanasiasa siyo viumbe wa kuwaamini kwa 100%. Hawa Makamanda wanajimwambafai tu kwa sababu wana uhakika wa kupata chakula.
Siku wakishikwa na njaa, na njaa hiyo ikatoka tumboni na kuelekea kichwani, watabadilika tu.
Kwa hiyo unaishauli nini CCM?
Tatizo mmezoezwa kuropoka tu; believe, ungetazama hayo mazungumzo ungegundua wewe ndie unaetia huruma.Wanatia huruma
Hii akili ndogo pia wameizungumzia, wakasema wanahakika watarudi wote watatu, ndio maana siku hizi wenzio lumumba hawasemi hawatarudi bungeni kama wewe, wao wanasema hawatawatangaza washindi.Hawa Sidhani kama Bunge la 2020-2021 watakanyaga, wahage mapema hawa
Hawa Sidhani kama Bunge la 2020-2021 watakanyaga, wahage mapema hawa
Yote hayo yapo ndani ya maongezi yaoHawa Sidhani kama Bunge la 2020-2021 watakanyaga, wahage mapema hawa
WATAHAGA tu mkuu usiwe na hofu!!Hawa Sidhani kama Bunge la 2020-2021 watakanyaga, wahage mapema hawa
Mtamkamata Idriss kila wakati. Akicheka ulichoandika hapa mnampa kesi ya utakatishaji.?Hawa Sidhani kama Bunge la 2020-2021 watakanyaga, wahage mapema hawa
Ila mwisho wa siku, ukweli ni kwamba Wanasiasa siyo viumbe wa kuwaamini kwa 100%. Hawa Makamanda wanajimwambafai tu kwa sababu wana uhakika wa kupata chakula.
Siku wakishikwa na njaa, na njaa hiyo ikatoka tumboni na kuelekea kichwani, watabadilika tu.
Elimu ya CCM hii,kuandika kwenyewe shidaHawa Sidhani kama Bunge la 2020-2021 watakanyaga, wahage mapema hawa.
Kwa mujibu wa Twaweza, ccm inaungwa mkono na wenye elimu duni, wanawake na waishio vijijini. Huyo jamaa yupo moja ya hayo makundi, kwa hiyo si wakulaumiwa kabisa.Elimu ya CCM hii,kuandika kwenyewe shida