Vidokezo vya kuingia katika mahusiano yenye afya 2023

Vidokezo vya kuingia katika mahusiano yenye afya 2023

Guys hi kitu inaitwa solitude (upweke) ni kibaya sana, it's healthy but harmful as well.

This year sababu ya upweke nljikuta nmeingia in a very toxic relationship, huwa inanitesa sana psychologically sababu huwa nashindwa kuwa na power of letting go especially nikimzoea mtu, in nature mimi ni male introvert, an on my 20s.

At this point am single, any advice? Je, nawezaje ingia in a healthy relationship 2023. Please any tips will help.
jaman wakikupa tips naomba unistue maana nshajichokea vijana hawa wa mama sa100 siwaelewi wanataka nini
 
Kuwa kwenye mahusiano mazuri kwanza kama umemaliza chuo au upo chuo jiweke katika nafasi ya kufanya kazi jitume na ukiwa unafanya kazi weka malengo na anza kujijenga

Ukiweza kujijajli na kujijenga kidogo kidogo anza tabia ya kujitimizia majukumu yako au ya nyumbani vizuri yaani jifunze uwajibikaji kwenye nafasi ya ubaba au uanaume ukiweza hapo utakuwa umejiweka kwenye sehemu ya kutokuumizwa kimahusiano

Sababu ukiwa una tekeleza majukumu yako na una wajibika mwanaume kuna mambo utajifunza hasa kutoa na kutumia kitu ambacho hakitaweza kukuumiza ukiwa kwenye mahusiano mfano nyumbani umeme umeisha nunua hata wa elfu 5 au 10 chumvi sukari na vingine

Unavaa suruali unaona imechanika nunua nyingine tshirt imefubaa una tafuta nyingine kwa namna hiyo akili inakuwa imeshajiandaa ili uweze kumhandle mtu mwingine na majukumu yako kwa pamoja sababu hautashangazwa pale ambapo bill inakuja mtu anataka kusuka au ana shida sio tuu mpenzi hadi marafiki na ndugu akili itapanuka

Sasa vijana wengi wanaingia kwenye mahusiano wakiwa hawawezi hata kujitunza na kutunza mazingira wanayo ishi hata kama ni nyumbani mwisho wanaona kama wanateseka na kunyimwa uhuru wana amua kuondoka na kwenda kupanga kinacho tokea kwenye kupanga kijana yule asubuhii yupo geto mchana njaa ikiuma anarudi nyumbani kula anazuga mpaka usiku anakula nyumbani tena muda ukienda anarudi kulala alipo panga

Na hii ndio chanzo sasa cha kelele na vilio vilivyo mtaani wadada wanataka maisha ya instagram na tiktok huku vijana hawezi timiza sababu wanashindwa jihudumia wenyewe na kuwa wawajibikaji wa maisha yao atawezaje kukuhudumia wewe nguo au nywele za laki moja wakati yeye hana hata suruali mpya ndani ya miezi sita anaona kwamba una mchuna na ni malaya hapo ndio vita inapoanzia

Dada anapata mzee sababu anatamani anayo yaona na kuayasikia kijana wa kiume unaona maisha ni stress na toxic unaamua kutokujali bila kusahau msichana huyo ulienae bado atakupa penzi kwa huruma uhudumii lakini anakupa sababu ya huruma na mzunguko wa magonjwa unaendelea

Funzo au jambo muhimu
Ni kuanza kujihudumia na kutatua changamoto za nyumbani au sehemu unayo ishi na kuweza kutatua matumizi madogo madogo ya kila siku ukiona umeweza basi tafuta mtu ili pia hata ukiishi nae usione umeweka mzigo ndani au ukaanza kulalamika mtu fulani anatumia kitu hichi bila mahesabu pasipo kujua mtu ameongezeka na bajeti itaongeza kwako mtoto wa kiume au kijana wa kiume bila kusahau kufanya kazi

una degree na mchongo hautiki anzia chini maisha ni ngazi hakuna anaepata yote kwa pamoja maana kusoma sio kigezo cha kuwa na maisha mazuri na ipo siku utayafanya yote ndani yavsiku moja hapana anaza kutafuta kidogo na kwa amani

Nisiendelee naona haya yanatosha
 
Kuwa kwenye mahusiano mazuri kwanza kama umemaliza chuo au upo chuo jiweke katika nafasi ya kufanya kazi jitume na ukiwa unafanya kazi weka malengo na anza kujijenga

Ukiweza kujijajli na kujijenga kidogo kidogo anza tabia ya kujitimizia majukumu yako au ya nyumbani vizuri yaani jifunze uwajibikaji kwenye nafasi ya ubaba au uanaume ukiweza hapo utakuwa umejiweka kwenye sehemu ya kutokuumizwa kimahusiano

Sababu ukiwa una tekeleza majukumu yako na una wajibika mwanaume kuna mambo utajifunza hasa kutoa na kutumia kitu ambacho hakitaweza kukuumiza ukiwa kwenye mahusiano mfano nyumbani umeme umeisha nunua hata wa elfu 5 au 10 chumvi sukari na vingine

Unavaa suruali unaona imechanika nunua nyingine tshirt imefubaa una tafuta nyingine kwa namna hiyo akili inakuwa imeshajiandaa ili uweze kumhandle mtu mwingine na majukumu yako kwa pamoja sababu hautashangazwa pale ambapo bill inakuja mtu anataka kusuka au ana shida sio tuu mpenzi hadi marafiki na ndugu akili itapanuka

Sasa vijana wengi wanaingia kwenye mahusiano wakiwa hawawezi hata kujitunza na kutunza mazingira wanayo ishi hata kama ni nyumbani mwisho wanaona kama wanateseka na kunyimwa uhuru wana amua kuondoka na kwenda kupanga kinacho tokea kwenye kupanga kijana yule asubuhii yupo geto mchana njaa ikiuma anarudi nyumbani kula anazuga mpaka usiku anakula nyumbani tena muda ukienda anarudi kulala alipo panga

Na hii ndio chanzo sasa cha kelele na vilio vilivyo mtaani wadada wanataka maisha ya instagram na tiktok huku vijana hawezi timiza sababu wanashindwa jihudumia wenyewe na kuwa wawajibikaji wa maisha yao atawezaje kukuhudumia wewe nguo au nywele za laki moja wakati yeye hana hata suruali mpya ndani ya miezi sita anaona kwamba una mchuna na ni malaya hapo ndio vita inapoanzia

Dada anapata mzee sababu anatamani anayo yaona na kuayasikia kijana wa kiume unaona maisha ni stress na toxic unaamua kutokujali bila kusahau msichana huyo ulienae bado atakupa penzi kwa huruma uhudumii lakini anakupa sababu ya huruma na mzunguko wa magonjwa unaendelea

Funzo au jambo muhimu
Ni kuanza kujihudumia na kutatua changamoto za nyumbani au sehemu unayo ishi na kuweza kutatua matumizi madogo madogo ya kila siku ukiona umeweza basi tafuta mtu ili pia hata ukiishi nae usione umeweka mzigo ndani au ukaanza kulalamika mtu fulani anatumia kitu hichi bila mahesabu pasipo kujua mtu ameongezeka na bajeti itaongeza kwako mtoto wa kiume au kijana wa kiume bila kusahau kufanya kazi

una degree na mchongo hautiki anzia chini maisha ni ngazi hakuna anaepata yote kwa pamoja maana kusoma sio kigezo cha kuwa na maisha mazuri na ipo siku utayafanya yote ndani yavsiku moja hapana anaza kutafuta kidogo na kwa amani

Nisiendelee naona haya yanatosha
Men have financial clock and women have time clock,
Kwa kifupi nipo on second step, financial clock! And am doing good so far!
Ulichokiandika it's one of the best relationship tips , nakuunga mkono mkuu,
 
Just stay calm and let things take their natural course.Don't force issues.At least you must have learned your lesson (s) the hard way from your past r/ ship.

Next time you fall in love with someone please don't expect too much from them, this will help you avoid unnecessary disappointments.
 
Kwanza umri huo unawaza mapenzi na relationship zenye afya halafu zama hizi?

Hizi ni zama za kuumizwa tu,na huo umri wako ndo kwanza unaanza safari ya kuumizwa
Sie kaka zako 35s' hatuwazi mapenzi ya aina hiyo hata kidogo maana ni hatari tupu.
 
Kuwa kwenye mahusiano mazuri kwanza kama umemaliza chuo au upo chuo jiweke katika nafasi ya kufanya kazi jitume na ukiwa unafanya kazi weka malengo na anza kujijenga

Ukiweza kujijajli na kujijenga kidogo kidogo anza tabia ya kujitimizia majukumu yako au ya nyumbani vizuri yaani jifunze uwajibikaji kwenye nafasi ya ubaba au uanaume ukiweza hapo utakuwa umejiweka kwenye sehemu ya kutokuumizwa kimahusiano

Sababu ukiwa una tekeleza majukumu yako na una wajibika mwanaume kuna mambo utajifunza hasa kutoa na kutumia kitu ambacho hakitaweza kukuumiza ukiwa kwenye mahusiano mfano nyumbani umeme umeisha nunua hata wa elfu 5 au 10 chumvi sukari na vingine

Unavaa suruali unaona imechanika nunua nyingine tshirt imefubaa una tafuta nyingine kwa namna hiyo akili inakuwa imeshajiandaa ili uweze kumhandle mtu mwingine na majukumu yako kwa pamoja sababu hautashangazwa pale ambapo bill inakuja mtu anataka kusuka au ana shida sio tuu mpenzi hadi marafiki na ndugu akili itapanuka

Sasa vijana wengi wanaingia kwenye mahusiano wakiwa hawawezi hata kujitunza na kutunza mazingira wanayo ishi hata kama ni nyumbani mwisho wanaona kama wanateseka na kunyimwa uhuru wana amua kuondoka na kwenda kupanga kinacho tokea kwenye kupanga kijana yule asubuhii yupo geto mchana njaa ikiuma anarudi nyumbani kula anazuga mpaka usiku anakula nyumbani tena muda ukienda anarudi kulala alipo panga

Na hii ndio chanzo sasa cha kelele na vilio vilivyo mtaani wadada wanataka maisha ya instagram na tiktok huku vijana hawezi timiza sababu wanashindwa jihudumia wenyewe na kuwa wawajibikaji wa maisha yao atawezaje kukuhudumia wewe nguo au nywele za laki moja wakati yeye hana hata suruali mpya ndani ya miezi sita anaona kwamba una mchuna na ni malaya hapo ndio vita inapoanzia

Dada anapata mzee sababu anatamani anayo yaona na kuayasikia kijana wa kiume unaona maisha ni stress na toxic unaamua kutokujali bila kusahau msichana huyo ulienae bado atakupa penzi kwa huruma uhudumii lakini anakupa sababu ya huruma na mzunguko wa magonjwa unaendelea

Funzo au jambo muhimu
Ni kuanza kujihudumia na kutatua changamoto za nyumbani au sehemu unayo ishi na kuweza kutatua matumizi madogo madogo ya kila siku ukiona umeweza basi tafuta mtu ili pia hata ukiishi nae usione umeweka mzigo ndani au ukaanza kulalamika mtu fulani anatumia kitu hichi bila mahesabu pasipo kujua mtu ameongezeka na bajeti itaongeza kwako mtoto wa kiume au kijana wa kiume bila kusahau kufanya kazi

una degree na mchongo hautiki anzia chini maisha ni ngazi hakuna anaepata yote kwa pamoja maana kusoma sio kigezo cha kuwa na maisha mazuri na ipo siku utayafanya yote ndani yavsiku moja hapana anaza kutafuta kidogo na kwa amani

Nisiendelee naona haya yanatosha
Dah I came to this very late lakini umeelezea kwa kina sana na hapa vijana wengi wana la kujifunza, thanks so much for the time you took to write all of this.
 
Back
Top Bottom