mpenda arage
JF-Expert Member
- Nov 10, 2015
- 1,677
- 3,806
- Thread starter
- #41
Du!Huku kwetu ukuryani hakuna kulala mwanaume unasimama mwenyewe huku ukiwa unakatwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du!Huku kwetu ukuryani hakuna kulala mwanaume unasimama mwenyewe huku ukiwa unakatwa.
Maumivu yale usitanie aiseee![emoji23] [emoji23]Mkuu acha tu nilipiga kelele sio ya dunia hii kabisa
Hiii ni hatari mkuu! Maumivu yale alaf anapumzika, anakuja kumalizia baadae!! Du! Huku kwetu tungetoka mita aises na kipisi!![emoji125] [emoji125] [emoji13] [emoji13]Sisi wakurya tunasimama uwanjani tena unasimama wima kama bendera ya taifa inapandishwa au kushushwa
Hapo ngariba abaweza kukata govinda kwa visu 3 ama vi4....... maana anakata kidogo kisha anapunzika kana dk3 ama 4.... huku anaenda kumwa pombe, anakuacha wewe umesimama bila kutikisika
Hapo ndo unachukuliwa kama mwanaume...
Mimi nilikatwa visu 2,,,, lani nilikuwa naona dunia inazunguka kabisa...... bahatu nzuri nilisimama hadi kumaliza na kuwa mwanaume kamili....
Lani nikikumbuka siku hiyo.... hata sipendi kukumbuka kabisa
Hospitali sawa, ila wasitumie ganzi![emoji13] [emoji13]Ha ha kuna jamaa alimwaga mbonge la kimba aisee, kwa sasa ni bosi maeneo flani, tukikutana mara chache wik end tukikumbushana mambo ya zamani, nikimchomekea hiyo kitu kukauka mbavu kwa kicheko,lakini kwa sasa na hili tishio la ukimwi, vile vitendea kazi si salama tena...kwa kweli sishauri..Hospitary ni best option.
Watakosa soko, nani anataka kisimbuzi kisicho na dishi wala antena miaka hii?!![emoji15] [emoji15]Muda si mrefu utaona thread tuliokeketwa tukutane hapa 😀 😀
Watoto wa sasa hivi hata mimi nimeshapata wasiwasi nao. Wengine wanaweza kukufia. Haya masindano yamewafanya wawe maskrepa. Na wengi sio majasiri, ukilifichia hata rimoti tu ya TV yanalia, badala ya kuitafuta!![emoji23]Nadhani mfumo ungekuwa hatarishi kwa mazingira ya sasa kutokana na wingi wa magonjwa yaliyopo, ila kiukweli maumivu yake kipindi hicho bora watoto wa ganz wa kipindi hch
Kutahiriwa ni siri?! Au ulivyotahiriwa hakuna aliyejua hapo kwenu?![emoji52]mmh hivi wanaume mnaruhusiwa kumbe kutoa siri za jandoni ingekua mwanamke tungekuita msungo ila wanaume sijui mnaitwaje
Nilitegemea kukutana na vichwa goroli kama wewe! Kutahiriwa ingekuwa siri serikali ingetoa ofa ya bure kwa wenye magovinda?! Ningeeleza mambo yote yaliyofanyika baada ya tendo sawa! Kutahiriwa ni kitendo tu mkuu sawa na kufyatua risasi, kitu ambacho hata jambazi asiyejua siri za jeshi anajua!! Uwe unafikir kwanza alaf ndio unakoment. Sio unakoment alaf ndio unafikir! Na hilo neno She***zy kaa nalo naamini ndio saizi yako!Duh! Nyie ndio mnakujaga kutoa hata Siri za jeshini...... Hamfai Kabisa...... She***zy
Usinilishe maneno. Pitia tena kwenye posti yangu. Ukikuta neno jandoni, nishtue. Mi nimepngelea kutahiriwa bila ganzi. Kwahiyo ngariba akija kukutahiria bila ganzi nyumbani kwenu na kukuacha ukahudumiwa na wazazi wako, hapo ni jandoni?! Soma heading vizuri! Haijaandikwa wale tulioenda jandoni.mtoa mada hajaongea kuhusu hospital ni jandoni hiyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Watoto wa sasa hivi hata mimi nimeshapata wasiwasi nao. Wengine wanaweza kukufia. Haya masindano yamewafanya wawe maskrepa. Na wengi sio majasiri, ukilifichia hata rimoti tu ya TV yanalia, badala ya kuitafuta!![emoji23]
Sanaaa. Kwanza kichwa kinapanukaJando liacheni liitwe jando , siri za jando sitozitoa Nahisi Yale maumivu yatajirudia, ila ss tuliotahiriwa kienyeji nasikia tuna katofauti flan kunako 6*6
mwandiko wako waki govi goviMimi naikumbuka yangu miaka ya 80's..hatari sana
Jando ya bila ganzi inatengeneza usugu wa kichwa cha ub..oo kiasi kwamba ukiwa unapiga mambo ngumu sana kushusha wazungu mapema,sbb mishipa fulani ya hisia pale mbele inakuwa imekufa/sizi.
Sisi tulikuwa tunaitwa 'Wanyamlusi" unapewa na kifimbo kidogo kanaitwa "sungururu" ambapo uume ukisimama basi unapiga fimbo sehemu ya enka ili ilale.
Baadae nikapewa kazi ya kuwa nataili,ndio chanzo cha jina Ngaliba Dume ,mengine siwezi sema sbb za miiko ya jando
Pole kwa kukeketwa ndyo maana huwa hufiki kilelenimmh hivi wanaume mnaruhusiwa kumbe kutoa siri za jandoni ingekua mwanamke tungekuita msungo ila wanaume sijui mnaitwaje
Njoo nkukeketenatafuta ngariba anikekete