Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Sawahuna upeo wakufikiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawahuna upeo wakufikiri
Gaza strip.Kama Gaza ila ndio mji wetu 🔥
Mkuu shukurani kuhusu camera ni Google Pixel 4a.Safi sana, Camera Nzuri, Mpiga Picha mzuri, Location nzuri hapa lazima macho yafaidi. Hilo jengo la TRC kama godown la milipuko hapo pembeni ya SGR linatia kichefu chefu imefika wakati lipigwe tindo.
Naiona Jangwani na mafuriko yake kwa mbaaaali
fafanua isijeikawa wewemwenyewe ndio una tatizo laakiliKwenye coment ndio utajua Afya ya akili ni janga Tz
Hilo majengo ya TRC utazan ndio yale ya kwenye movie kutengenezea milipuko huko iran Afghanistan Pakistan😂😂😂🤣Leo jioni nimepata fursa ya kufika floor namba 36 TPA Tower na hii ndio view yake View attachment 3046513
Huu ni upande wa kariakoo.
😂😂 KarakanaHilo majengo ya TRC utazan ndio yale ya kwenye movie kutengenezea milipuko huko iran Afghanistan Pakistan😂😂😂🤣
One step at a timeSisi bado sana! Ila fresh... Nyumbani ni Nyumbani 👍🙏❤
Vijana sonona inawatafuna.Kwenye coment ndio utajua Afya ya akili ni janga Tz
Ndio mkuu picha yenyewe ya kuibia wenye mamlaka hawachelewi kukupokonya simu kwa kigezo nani kakupa kibali Cha kupiga picha.. kimsingi Kuna view nzuri pia upande wa bahari kigamboni yote unakuwa unaionaPicha moja tu mkuu?
Kwa mamlaka niliyonayo, nakupa ruhusa ya kupiga picha siku nzima kwenye hilo jengoNdio mkuu picha yenyewe ya kuibia wenye mamlaka hawachelewi kukupokonya simu kwa kigezo nani kakupa kibali Cha kupiga picha.. kimsingi Kuna view nzuri pia upande wa bahari kigamboni yote unakuwa unaiona
Ulikwenda DPW mkuu?Leo jioni nimepata fursa ya kufika floor namba 36 TPA Tower na hii ndio view yake View attachment 3046513
Huu ni upande wa kariakoo.
Kwa picha hii hatujatofautiana xnaa na new York cityLeo jioni nimepata fursa ya kufika floor namba 36 TPA Tower na hii ndio view yake View attachment 3046513
Huu ni upande wa kariakoo.
Kama GazaLeo jioni nimepata fursa ya kufika floor namba 36 TPA Tower na hii ndio view yake View attachment 3046513
Huu ni upande wa kariakoo.