fatherhood
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 537
- 556
Hata upande wa mond uwe unapost hivohivoHalafu uanze kusema maisha magumu, what does it do to your life? Utumie libando lako kufuatilia viewers wa harmonize kama ni real au fake?
Kama mziki wake ni mzuri kwanini ananunua viewers?Endelea mzee lkn SANDAKALAWE huwezi ifananisha na upuuz woote alioimba kiba na Mondi kamwe.
Nlikua sijazisikiliaza nlipozidownload jana nmecheka sana.
Kiba hapambanii mziki wake anajua jina analo.
Mond mziki umeisha amebaki kuimba upumbavu tuu. Matusi mengi melody ya hovyo
Konde Boy sound good, Vocal za maana mziki wenye radha. Kijana anapambana.
Hapana unafiki hapo juu nlipoandika nimejaribu kugenelise tuu.
Tuwekee risiti ya efd inayonesha manunuzi ya viewsKama mziki wake ni mzuri kwanini ananunua viewers?
Kuna walakini mzito nilisha hisi hilo sana.Imefikisha 3.8 ila likes na dislike ni zilezile na trending hipo palepaleView attachment 1839346
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Apewe hela naeViews hazinunuliwi, ukitaka kanunue
Sure alafu kwanini trending asiwe no1? Kuna walakini.Qmmk, huyu mtoto fala sana na cjui anapata faida gan aiseee! jana kabla ya gemu la simba na yanga tulikuwa na mshkaji angu, tukaview, alikuwa ana 1.9M+!
Night baada ya kutoka kwny game ya ukraine na uingereza jamaa yangu akanambia sandakalawe imefikisha views 3.8M+...
Just imagine, masaa km 8 hv inapata views karibia 1.9M+ na sio new release,
Hapa kuna namna mmakonde anafanya sio bure.!
Hawa wamakonde wanataka kutuharibia mziki wetu