Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao viewers anawanunulia wapi?
Tuwekee risiti ya efd inayonesha manunuzi ya views
Views hazinunuliwi, ukitaka kanunue
Trending zinawekwa kitaifa hiizo inaweza kuwa na more views lakini umetrend zaidi congo,Kenya na Uganda but Tanzania umezidiwa kwenye trending kwahio utaonekana upo chini trending Tanzania lakini katika hizoo nchi nyingine ukawa juu zaidi
Kabisa.Tuwekee risiti ya efd inayonesha manunuzi ya views
Mzee iv kuimba ninataka'tooo'si tusi hilo.?kwel umelewa uongoEndelea mzee lkn SANDAKALAWE huwezi ifananisha na upuuz woote alioimba kiba na Mondi kamwe.
Nlikua sijazisikiliaza nlipozidownload jana nmecheka sana.
Kiba hapambanii mziki wake anajua jina analo.
Mond mziki umeisha amebaki kuimba upumbavu tuu. Matusi mengi melody ya hovyo
Konde Boy sound good, Vocal za maana mziki wenye radha. Kijana anapambana.
Hapana unafiki hapo juu nlipoandika nimejaribu kugenelise tuu.
Hata watu 500 wasio na kazi ukiwajazia bando ukawapa na pesa ya kula wanaweza fanya kazi hiyo.Yaan unamaanisha kikundi cha watu million moja HARMONIZE anakilipa ili kiview nyimbo
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3]izi lawama kashapewa sana mondiHuyu mtoto fala sana na cjui anapata faida gan aiseee! jana kabla ya gemu la simba na yanga tulikuwa na mshkaji angu, tukaview, alikuwa ana 1.9M+!
Night baada ya kutoka kwny game ya ukraine na uingereza jamaa yangu akanambia sandakalawe imefikisha views 3.8M+...
Just imagine, masaa km 8 hv inapata views karibia 1.9M+ na sio new release,
Hapa kuna namna mmakonde anafanya sio bure.!
Hawa wamakonde wanataka kutuharibia mziki wetu
Kwani likes huwa zinaendana na viewersLilivyo lijinga baada ya kuona its too much. Kawambia wasimamishe robot, now imekwama kwenye 3.8.
Nadhani itakuwa kawaambia now waanze kupandisha likes.
Ambao wako jikoni wanampikia hizo data nadhani hesabu iliwapiga chenga.
Mondi alishaambiwa sana haya mamboHarmonize anajitekenya na kujicheka maenyewe. Kwa watu wenye uelewa kuhusu haya mambo (Acha wazee wa ushabiki) wanaona kabisa kuwa anadanganya. Mziki wetu huu una safari sana, walio karibu nae wamshauri, anaaibika.
Kama mondi kashindwa kusaga meno basi dogo nae hatosaga meno....huyo harmonise anaakili mbovu mtu alie toa ngoma nae pamoja eti yuko #01 o ntrendingi yeye yuko #04
huku ikiwa zuchu anashikilia 1.8m
na harmo 4.2
hii kumaanisha views wa harmonize awatokei tanzania je wanatokea wapi
ambako harmonise anajulikana mno kuliko tanzania ukweli ni kwamba mchezo anaoufanya ni hatari kwake maana youtube huwa wapo makini ipo siku atasaga menoo
Kwa hiyo sasa hanunui tena? Je views wake hua wanaganda baada ya muda?Mondi alishaambiwa sana haya mambo
Jana mpk mida ya saa 12 ilikua na views 4.2 mpk leo yameshapita masaa 24 wameongezeka views laki 1 tuuhHivi hamjawahi kuona nyimbo Ina views laki na haijulikani ,lakini msanii mwenye followers wengi anaweka Instagram au fb akiicheza na unakuta ana followers Kama mil 4 gafla watu wanaenda kuviews na viewers kupanda gafla.
Inawezekana kanunua au hajanunua but hata mondi alikuwa anapita humo humo na kusema views hazinunuliwi.
Sasa huko unakokuzungumziwa hata top 20 hakuwepo labda sijui kwa sasaTrending zinawekwa kitaifa hiizo inaweza kuwa na more views lakini umetrend zaidi congo,Kenya na Uganda but Tanzania umezidiwa kwenye trending kwahio utaonekana upo chini trending Tanzania lakini katika hizoo nchi nyingine ukawa juu zaidi