Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,336
Mimi mpuuzi lkn nina akili ya kupambanua na kuchambua mambo.. nikushauri stick ktk ushabiki pengine ndio ajira yako chiefkuna kipindi Mond alikuwa anaiba watu walimkatalia katukatu, leo zamu yake ndio mnakuja na akili ya kununua, ondoe upuuzi wenu
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app