Trending zinawekwa kitaifa hiizo inaweza kuwa na more views lakini umetrend zaidi congo,Kenya na Uganda but Tanzania umezidiwa kwenye trending kwahio utaonekana upo chini trending Tanzania lakini katika hizoo nchi nyingine ukawa juu zaidiSure alafu kwanini trending asiwe no1? Kuna walakini.
Anha asante kwa muongozo.Trending zinawekwa kitaifa hiizo inaweza kuwa na more views lakini umetrend zaidi congo,Kenya na Uganda but Tanzania umezidiwa kwenye trending kwahio utaonekana upo chini trending Tanzania lakini katika hizoo nchi nyingine ukawa juu zaidi
Hapana. Hakuna hilo swala la kununua.je ni kweli ananunua viewers.
Ila sasa iko hiviNyimbo yake ya sandakalawe ilikuwa na viewers 400k
Je wasiwasi upi? tena!mmakonde hata mm nina wasiwasi naye,
Halafu na bado likes ziko vile vile, dislikes vile vile, na still trending alikua namba 7.. [emoji38][emoji38] mmakonde anadhani kila mtu ni stupidQmmk, huyu mtoto fala sana na cjui anapata faida gan aiseee! jana kabla ya gemu la simba na yanga tulikuwa na mshkaji angu, tukaview, alikuwa ana 1.9M+!
Night baada ya kutoka kwny game ya ukraine na uingereza jamaa yangu akanambia sandakalawe imefikisha views 3.8M+...
Just imagine, masaa km 8 hv inapata views karibia 1.9M+ na sio new release,
Hapa kuna namna mmakonde anafanya sio bure.!
Hawa wamakonde wanataka kutuharibia mziki wetu
Kashafail na watu wanajua.. anajidanganya sanaLilivyo lijinga baada ya kuona its too much. Kawambia wasimamishe robot, now imekwama kwenye 3.8.
Nadhani itakuwa kawaambia now waanze kupandisha likes.
Ambao wako jikoni wanampikia hizo data nadhani hesabu iliwapiga chenga.
acha roho mbaya kijanaKama mziki wake ni mzuri kwanini ananunua viewers?
kuna kipindi Mond alikuwa anaiba watu walimkatalia katukatu, leo zamu yake ndio mnakuja na akili ya kununua, ondoe upuuzi wenuHarmonize anajitekenya na kujicheka maenyewe. Kwa watu wenye uelewa kuhusu haya mambo (Acha wazee wa ushabiki) wanaona kabisa kuwa anadanganya. Mziki wetu huu una safari sana, walio karibu nae wamshauri, anaaibika.
views za mond zilikuwa zinaeleweka, yaani views, comments, trending, likes na dislikes zote zinapanda kwa pamoja, hata km utaitrace kiaje... ila mmakonde kagandisha kila kitu isipokuwa views tu... hapo unatoa maoni gan mkuu? inawezekana vipi watu 1M+ waangalie halafu wasilike, wala kukoment?kuna kipindi Mond alikuwa anaiba watu walimkatalia katukatu, leo zamu yake ndio mnakuja na akili ya kununua, ondoe upuuzi wenu
Huu ndio ukweli, Wengi hawataki kuusikia.Konde Boy sound good, Vocal za maana mziki wenye radha. Kijana anapambana.
Inamsaidia nini!??Lilivyo lijinga baada ya kuona its too much. Kawambia wasimamishe robot, now imekwama kwenye 3.8.
Nadhani itakuwa kawaambia now waanze kupandisha likes.
Ambao wako jikoni wanampikia hizo data nadhani hesabu iliwapiga chenga.
Nyimbo nzuri mimi nimeisikiliza zaidi ya mara 20 YouTube sasa tupo wangapi kama mimiNjooni tujadili kupanda kwa viewers wa nyimbo zake , je ni kweli ananunua viewers.
Nyimbo yake ya sandakalawe ilikuwa na viewers 400k baada ya masaa machache ikawa na viewers 1.5m
Yani kama ule salute ni jimbo baya.. Halafu kamata si utani mtupuEndelea mzee lkn SANDAKALAWE huwezi ifananisha na upuuz woote alioimba kiba na Mondi kamwe.
Nlikua sijazisikiliaza nlipozidownload jana nmecheka sana.
Kiba hapambanii mziki wake anajua jina analo.
Mond mziki umeisha amebaki kuimba upumbavu tuu. Matusi mengi melody ya hovyo
Konde Boy sound good, Vocal za maana mziki wenye radha. Kijana anapambana.
Hapana unafiki hapo juu nlipoandika nimejaribu kugenelise tuu.