Mimi mpuuzi lkn nina akili ya kupambanua na kuchambua mambo.. nikushauri stick ktk ushabiki pengine ndio ajira yako chiefkuna kipindi Mond alikuwa anaiba watu walimkatalia katukatu, leo zamu yake ndio mnakuja na akili ya kununua, ondoe upuuzi wenu
Yaan unamaanisha kikundi cha watu million moja HARMONIZE anakilipa ili kiview nyimboharmo hajanunua views bt kuna kundi analilipa ajili ya kuview mara nyingi ajili ya kupandisha views haraka ndo maana like na comment zimeganda, kama zingekua views za kawaida kwa speed ilokua nayo attitude saivi ingekua na 30m+ bt imegandia 12m+ na sidhani kama itakuja fikisha hata 20m
Zuchu hana uwezo wa kufikisha view mil 1 bila kuboostHata ungekuwa wewe ungekubali zuchu anamillion alafu wewe msanii namba 1 Tanzania unalaki 3
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Prove ananunua viewers kama huna proof huna haki ya kumshitakia uongoKama mziki wake ni mzuri kwanini ananunua viewers?
Hachana na YouTube nenda kwenye platform nyingn kaangalie namba za zuchu alafu uje ubishe au na huko huwa unaboostZuchu hana uwezo wa kufikisha view mil 1 bila kuboost
Ushahama platform kwa swali moja tu mkuu? Siulikuwa unazungumzia Youtube wewe mzeeHachana na YouTube nenda kwenye platform nyingn kaangalie namba za zuchu alafu uje ubishe au na huko huwa unaboost
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hiyo nyimbo yake ya nyumba ndogo audiomack ina 320K boomplay ina 650K huko nako ameboostZuchu hana uwezo wa kufikisha view mil 1 bila kuboost
Nimekwambia aboost yeye anauwezo wakugonga 1M per dayUshahama platform kwa swali moja tu mkuu? Siulikuwa unazungumzia Youtube wewe mzee
Zuchu hana uwezo wakufikisha view 1m kwa siku na harmonize nae hana uwezo huoHiyo nyimbo yake ya nyumba ndogo audiomack ina 320K boomplay ina 650K huko nako ameboost
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mbona Sukari imefika 1M kwa masaa 24Zuchu hana uwezo wakufikisha view 1m kwa siku na harmonize nae hana uwezo huo
Aisee kwa hiyo mkaamuaje sasa?Huyu mtoto fala sana na cjui anapata faida gan aiseee! jana kabla ya gemu la simba na yanga tulikuwa na mshkaji angu, tukaview, alikuwa ana 1.9M+!
Night baada ya kutoka kwny game ya ukraine na uingereza jamaa yangu akanambia sandakalawe imefikisha views 3.8M+...
Just imagine, masaa km 8 hv inapata views karibia 1.9M+ na sio new release,
Hapa kuna namna mmakonde anafanya sio bure.!
Hawa wamakonde wanataka kutuharibia mziki wetu
Usibishe labda matangazo ya google hayajakufikia wanaboost kuongeza viewersMbona Sukari imefika 1M kwa masaa 24
Njooni tujadili kupanda kwa viewers wa nyimbo zake , je ni kweli ananunua viewers.
Nyimbo yake ya sandakalawe ilikuwa na viewers 400k baada ya masaa machache ikawa na viewers 1.5m
Kuna walakini mzito nilisha hisi hilo sana.
LAZIMA kuwa na alama ya Ad.Binafsi kila nikifungua You Tube App nakuta ngoma ya Harmonize iko juu.
Nahisi jamaa kalipia Advert.
TrendingAhsante Mkuu kwa elimu.
Kama sio Ad, kwa nini inakuwa hivyo?