Umeamkaje?Nini Galbi..?
HAyah mambo ya viewerz kuna haja ya kutolewa ufafanuzi na Youtube wenyewe..
alaaaa eenh mie nipo.Salama kabisa, kukukosa ww tu!
Toka 1m mpaka laki 7+ View attachment 1414224
Kuna group hapo amejiunga linaitwa Spartacus mnyama mkali πππAnafutia wapi access ya kufanya hivyo tumenyimwa....yan hapa ukishaandika Uzi unakuwa Mali ya JF
Robidinyo badilisha tu ID la sivyo thread zako zijazo zitakuwa zinapata tabu sana.... Kingine muombe Melo akufutie huu πππ
Hakuna cha kutolea ufafanuzi hapo... ku-temper Views za Youtube si kazi ndogo kama ambavyo watu wanaaminishana!!HAyah mambo ya viewerz kuna haja ya kutolewa ufafanuzi na Youtube wenyewe..
π―Hakuna cha kutolea ufafanuzi hapo... ku-temper Views za Youtube si kazi ndogo kama ambavyo watu wanaaminishana!!
Yaani hao WCB miaka nenda rudi wawe na uwezo wa kupunguza views wa wengine na kujiongezea views wao... ni stupid tu ndie anaweza kuamini jambo kama hilo!
Sio kwamba watu hawajaribu lakini system ya Google/YouTube ipo very sensitive, na bots zinafanya kazi 24/7 huku zikifyeka any doubtful clicks. Na kwa kawaida kila mwaka Google huwa wanabadili algorithm, na ndio maana hata wanaofanya masuala la SEO unakuta say, technique iliyokuwa inafanya vizuri back in 2018, inakuwa sio bora tena in 2020 kwa sababu Google wamesha-change algorithm zao!
Na usisahau, kuna kampuni mbalimbali na kubwa duniani zinalipa millions of dollars kutangaza biashara zao YouTube na baadhi ya hizi kampuni ni hi-tech companies!
Unadhani wangeendelea ku-invest pesa zao kwenye platforms ambazo wanafahamu hata watoto wa Tandale wanaweza ku-temper mifumo yake?!
Angalia sasa hivi ameshafikisha 1M viewersNaona Wcb Mnaendeleza roho mbaya Fanyeni mziki, Mmemshindwa king kwenye ndumba, Mmeamua kuwekeza kwenye Upande wa IT View attachment 1414200View attachment 1414202
Hakuna cha kutolea ufafanuzi hapo... ku-temper Views za Youtube si kazi ndogo kama ambavyo watu wanaaminishana!!
Yaani hao WCB miaka nenda rudi wawe na uwezo wa kupunguza views wa wengine na kujiongezea views wao... ni stupid tu ndie anaweza kuamini jambo kama hilo!
Sio kwamba watu hawajaribu lakini system ya Google/YouTube ipo very sensitive, na bots zinafanya kazi 24/7 huku zikifyeka any doubtful clicks. Na kwa kawaida kila mwaka Google huwa wanabadili algorithm, na ndio maana hata wanaofanya masuala la SEO unakuta say, technique iliyokuwa inafanya vizuri back in 2018, inakuwa sio bora tena in 2020 kwa sababu Google wamesha-change algorithm zao!
Na usisahau, kuna kampuni mbalimbali na kubwa duniani zinalipa millions of dollars kutangaza biashara zao YouTube na baadhi ya hizi kampuni ni hi-tech companies!
Unadhani wangeendelea ku-invest pesa zao kwenye platforms ambazo wanafahamu hata watoto wa Tandale wanaweza ku-temper mifumo yake?!
Haa haa Spartacus mnyama mkaliGroup si Zangu nimechukua picha tu za jamaa kashare kwenye group naona wananzengo wameamua kushuka na beat
Kuna group hapo amejiunga linaitwa Spartacus mnyama mkali πππ
ππππGroup si Zangu nimechukua picha tu za jamaa kashare kwenye group naona wananzengo wameamua kushuka na beat
Siwezi badili ID mi napeta hata hawanisumbui ntaendelea kushusha nondo za koromelo mpaka waache mziki wa janja janjaAnafutia wapi access ya kufanya hivyo tumenyimwa....yan hapa ukishaandika Uzi unakuwa Mali ya JF
Robidinyo badilisha tu ID la sivyo thread zako zijazo zitakuwa zinapata tabu sana.... Kingine muombe Melo akufutie huu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sikutegemea hii comment ingetolewa na mtu anayejiita Da VinciKuna vitu kuvifanya inatakiwa uwe na kiwango fulani cha uchizi kichwani..moja ya vitu hivyo ni Kumshabikia Alikiba.
Kuna uhusiano mkubwa kati ya kumshabikia Alikiaba na kua tahira maandazi...Umetu prove mtoa mada na wenzio