SOLD: Vifaa vya salon ya kike vinauzwa

SOLD: Vifaa vya salon ya kike vinauzwa

Status
Not open for further replies.

TUMBOO

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2014
Posts
3,827
Reaction score
2,021
VIMEUZWA

Habari za jioni wakuu nauza vifaa vya saloon ya kike
1.draya moja
2.kioo kimoja kina frem ya alminium
3.troler yakuwekea rolers
4.kabati la alminium ukubwa ft 5
5.feni ya juu
6.viti vinne
7.kabati yakupangia taulo na kuwekea madawa
20170911_171757.jpg
 
Kwa mawasiliano piga 0786408577
 
Kwa vyote ivyo ni laki6 usaafiri juu yak
 
Poa poa nilijua upo kanda ya ziwa huku nije. Tatizo kuvisafilisha hadi huku usukumani itakua tatizo
Uko vinafika sana nshasafirisha mzigo wa vitu vya ndani hadi mbeya kwa bei ya elfu 60000 tu
 
Uko vinafika sana nshasafirisha mzigo wa vitu vya ndani hadi mbeya kwa bei ya elfu 60000 tu

Kwa hiyo mwanza vinafika kwa gharama zipi? Kama vinaweza kufika mwanza bila tatizo kweli?
 
Habari za jioni wakuu nauza vifaa vya saloon ya kike
1.draya moja
2.kioo kimoja kina frem ya alminium
3.troler yakuwekea rolers
4.kabati la alminium ukubwa ft 5
5.feni ya juu
6.viti vinne
7.kabati yakupangia taulo na kuwekea madawa View attachment 799674
bila bei huuzi utatangaza tu weka bei watu wasipoteze muda kukupigia
 
  • Thanks
Reactions: sab
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom