Anhaa hapo sawa DadaNilikua nakosa muda wakuifatilia mm nlikua bizy sana wafanyakazi wengi wezi labda uwe unashinda saloon ndio faida huonekana
Vitu bado vipo jamani
Uyo mtu ni muongo sana sijamwambia nmeuza tuliongea nae vizuri hadi nikatafuta usafiri nikawa nimepata akagoma kutuma hela nikawa nikipiga simu atume hela hapokei hakuwa siruz na vitu nlimwambia gharama yakufikisha mwanza ni 60000 hajanitafuta sijui anahisi mimi ni tapeliTumboo kuna mtu alikua anaitaji kutokea mwanza lakini ukamwambia ushauza.
Usafiri mwanza 60000 nlivyoongea na msafirishaji... yangu ukinipaia laki tano na elfu 50000 550000 sio mbaya