Vifo 6 vya Bodaboda vinavyodaiwa kutokea kwenye Mashindano Arusha ni uzembe mkubwa sana, Waandaaji wanapaswa kuwajibishwa

Ndo maana siwaelewi hawa maana kwenye mashindano sijasikia hivo vitu,,,,,..hao wanakimbizana barabarani huko Makonda anahusikaje
 
Walahi niliposikia mashindano ya Pikipiki nilidhani zile za 1000cc na waendeshaji wamejiandaa haswa

Kumbe jamaa kaandaa kutoa kafara
Masikini hawa kutafuta ugali wao tu wanatukanwa
Sasa wakaamua kusikiliza upumbavu huo wa mashetani
Nani kafa kwenye hayo mashindano
 
Mbona kama walipata ajali barabarani na sio kule lakilaki?? Yani vijana walipotoka kule wakaanza kuigiza kama wale washindani wenye mapikipiki makubwa na walikuwa washatupia mirungi na pombe bas wakapata ajali. Wahimizwe kuvaa kofia ngumu
Kumbe kwenye rally mapombe na mirungi ni Ruksa...hata hivyo kofia ngumu hazizuii ajali iwapo washindani wako unconscious,vipimo vya kilevi vitumike siku zijazo kuepuka fedhea
 
Muulize alieleta mada hii maana kaandika wamekufa 6 au hujasoma heading?
Bishana na mleta uzi
Mimi simo
Sasa uli reply vipi kama haupo......najua wamefariki ambao hawakuwepo kwenye hayo mashindano
 
Nasikia Mwamposa alikuwa mmoja wa wazinduaji wa mbio hizo, sijui hata nataka kusema nini, ngoja nifikirie kwanza
 
Kila siku nasema humu ndani kuna watu kichwani wana MAVI...

Ukisoma bandiko lake jamaa kapotosha sana
 
Vuawa wa Bashite mbona wameificha hii habari?
 
Je unajua aluyeshinda katumia sinoray na watu walikuwa na honda,BMW na wamekaa
 
Je unajua aluyeshinda katumia sinoray na watu walikuwa na honda,BMW na wamekaa
Yote hayo matakatakq matupu. Hata hizo Honda na BMW ni ma photocopy ya Guangzhou
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…