Vifo barabara ya kijenge, nakuomba mkuu wa Mkoa ingilia kati

Vifo barabara ya kijenge, nakuomba mkuu wa Mkoa ingilia kati

SAUTI YAKO

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2014
Posts
2,944
Reaction score
2,032
Naandika kwa majonzi sana hawa ndugu zetu wa huku Arusha nao wamebahatika kuwekeawa lami mwaka huu japo ni nusu mradi kamili wa kuifikisha lami inapotakiwa kuishia bado aujakamilika.

Lami hii sasa imekuwa ikileta huzuni baada ya furaha kwani waendesha bodaboda wa huu mtaa wameigeuza rami hii kuwa barabara ya mashindano na matokeo yake ajari za mara kwa mara zinazopelekea kuchukua uhai wa watu ambao wengine ni Waenda kwa miguu au abiria wanaotumia barabara hiyo, nakuomba mueshimiwa mkuu wa mkoa wasiliana na watu wanahousika na kuweka matuta barabarani warudi kuiwekea barabara hii matuta ya kutosha ikiwezekana fanya ziara kabisa kuongea na bodaboda hawa wapate elimu kwani hali inatisha .
 
Yule dada aliyepata ajali juzi Mungu amlaze mahali pema peponi ameondoka mdogo sana na shape yake.
 
ndio maana mda mwingine nimevaa smart niko na ka tvs kangu mtu akinisimamisha kama boda nakataa japo buku lake nalitamani unajua boda wanajisahau sana.

Mimi ni muumini sana wa vijiwe vya kahawa na mambo ya ushabiki nilichojifunza ni kwamba hata uwe mtu mzima kias gani ukiwa boda boda lazma utaonekana una kaupungufu flani ka akili.

Boda wanajiweka hovyo hawajali miili yao miyeyusho mingi sana. mfano huko arusha mshaona barabara inaondoka na uhai wa watu kwann mfanye tena mashindano tena kwenye makazi ya watu? Kuna changamoto kubwa sana kwenye hili kundi linalotoa huduma nzuri ila bado uelewa wao upo chini sana.
Kibaya zaidi ukitaka kuwaelimisha wanakua mbogo sana
 
Boda boda wengi ni wehu
Arusha ina matrafiki wengi wanaoshuudia ajari za mara kwa mara lakini matrafiki wa huku sijawahi ona hata siku moja wakiendesha oparesheni ya kuwaelimisha waendesha boda boda zaidi ya kuwa bize kukamata magari mikoa mengineni tofauti trafik hasa dar es salaam kongole kwao uwawanatoa sana eliminate kwa watu hawa
 
Ukishakua dereva pikipiki unaonekana akili yako ina uwalakini,hii barabara ya kijenge hadi ngulelo ina lami kiasi ila pikipiki zinaendeshwa rafu sana na pia eneo la barabara ni finyu sana ikiwa karibu sana na makazi pengine kuliko barabara nyingine yeyote
Elimu kwa hawa watu ni muhimu sana
 
Arusha ina matrafiki wengi wanaoshuudia ajari za mara kwa mara lakini matrafiki wa huku sijawahi ona hata siku moja wakiendesha oparesheni ya kuwaelimisha waendesha boda boda zaidi ya kuwa bize kukamata magari mikoa mengineni tofauti trafik hasa dar es salaam kongole kwao uwawanatoa sana eliminate kwa watu hawa

Makusanyo
 
Makusanyo
Mkuu wa mkoa ana kazi kubwa ya kufanya ndani ya arusha hasa upande wa barabarani ,ajari za boda boda na matukio ya 3 mzuka ndani ya arusha siku ikiisha salama bila tukio lolote tunamshukuru Mungu
 
Ukishakua dereva pikipiki unaonekana akili yako ina uwalakini,hii barabara ya kijenge hadi ngulelo ina lami kiasi ila pikipiki zinaendeshwa rafu sana na pia eneo la barabara ni finyu sana ikiwa karibu sana na makazi pengine kuliko barabara nyingine yeyote
Elimu kwa hawa watu ni muhimu sana
Mkuu pikipik za arusha kama wanaohusika kudhizibiti wakiamua arusha inaweza kuwa na bodaboda wazuri sana
 
Back
Top Bottom