Vifo na migogoro ya ndoa havitaisha hadi pale serikali ikiruhusu hili

Vifo na migogoro ya ndoa havitaisha hadi pale serikali ikiruhusu hili

Sasa uwe na Adabu...Unapotaka Kuingilia imani za watu na namna Serikali imekua na mipaka yake juu ya imani hizo. After all nilitegemea uje na taarifa rasmi kutoka kwa Serikali hiyo hiyo unayoishinikiza kutekeleza mawazo yako.
Umesoma maelezo yangu kwenye mada! Au umekomenti pasipo kusoma!

Ebu naomba usome tena! Utaelewa!
Serikali itafanya sehemu yake kama mdau katika mambo ya kisheria! Mambo ya imani waachiwe waamue wenyewe!

After all serikali ikitoa nafasi ya kufuta cheti cha ndoa!
Mwanandoa anaweza akabadili dini na asifungwe na agano la imani yake ya ndoa ya awali, lakini kama cheti kisipofutwa ni ngumu!
 
. Migogoro ya ndoa ni jambo la kawaida kati ya wanandoa wengi.

Migogoro hiyo isiposuluhishwa matokeo yake ni ndoa kuvunjika, kitendo ambacho hakipendwi na jamii, na hakina faida kwa watoto wao, madhehebu ya dini, wazazi, jamaa na wategemezi wao. Athari za kuvunjika kwa ndoa ni nyingi na mbaya sana kwao, watoto wao na maendeleo yao.
Kwa vile, migogoro ya ndoa imekuwapo katika baadhi ya familia na itaendelea kuwapo, sheria imeanzisha Bodi za Usuluhishi wa Ndoa. Kazi za Bodi hizi ni mbili, yaani, kusuluhisha wanandoa na ikishindikana kutoa Hati kwa wanandoa hao ili waipeleke mahakamani kwa ajili ya kuvunja rasmi ndoa hiyo.

Kwa mujibu wa Sheria, chombo pekee chenye mamlaka ya kutamka kuwa ndoa imevunjika na kutoa Hati ya Talaka ni Mahakama. Mahakama nayo hutoa uamuzi huo baada ya kujiridhisha pasipo shaka, kuwa, ndoa hiyo imeishavunjika na haiwezi kurekebika tena
 
Tukifahamu umuhimu wa familia hatutaruhusu hata hizo talaka kutolewa.

Familia legelege huzaa taifa legelege.
Tambua mapenzi siyo UZALENDO ni hisia na upendo baina ya watu wawili!
 
Umesoma maelezo yangu kwenye mada! Au umekomenti pasipo kusoma!

Ebu naomba usome tena! Utaelewa!
Serikali itafanya sehemu yake kama mdau katika mambo ya kisheria! Mambo ya imani waachiwe waamue wenyewe!

After all serikali ikitoa nafasi ya kufuta cheti cha ndoa!
Mwanandoa anaweza akabadili dini na asifungwe na agano la imani yake ya ndoa ya awali, lakini kama cheti kisipofutwa ni ngumu!
Kama umesoma machapisho ya maswala ya ndoa hautakuwa na maswali....
Mahakama pekee ndiyo yenye mamlaka ya kuvunja ndoa...Lakini kuna Bodi zenye dhamana ya usuluishi wa migogoro ya ndoa.
Usuluishi kwa maana ya kunusuru zisivunjike kwani maamuzi ya watu wawili huathiri mtu wa tatu zaidi ambaye ni mtoto/watoto.
Kanisa kama moja ya vyombo vya usuluishi hujikita katika namna ya kunusuru hasara hiyo. Tofauti na imani zingine Ukristo umejikita katika kulinda ndoa...Ila inapofika mwisho wao hutoa kibali cha ndoa kuvunjika ( Mahakamani )

Je unataka Serikali ingie ndani zaidi ya hapo?

Kingine umeleta heresay data za serikali kuonyesha vifo vitokanavyo na talaka iko wapi? Namaanisha chanzo cha uhakika.
 
Tambua mapenzi siyo UZALENDO ni hisia na upendo baina ya watu wawili!
Familia ndiyo msingi mkuu wa taifa.

Inasikitisha sana serikali ya ccm haina sera zozote zinazohusiana na masuala ya familia zaidi ya uzazi wa mpango tu
 
Kifo kiwatenganishe na hilo agano ndo huwavaa watu ili wauane tu maana huwa hakuna mbadala wa kutokea!
Ndiyo maana serikali inatakiwa iweke mwanya huo
Hii nitakuelekeza mara ya Mwisho kwani ni kama una ajenda nyingine nyuma.
Ndoa za kikristo huvunjwa Mahakamani....Migogoro hujadiliwa Kanisani.
Hakuna popote Ukristo umewahi kunyima watu kuachana..Ila Kuachana huko kumekuwa kukijadiliwa kwa Uzito zaidi ya Nyie wa Talaka tatu.
Nafikiri Umeelewa.
 
Kama umesoma machapisho ya maswala ya ndoa hautakuwa na maswali....
Mahakama pekee ndiyo yenye mamlaka ya kuvunja ndoa...Lakini kuna Bodi zenye dhamana ya usuluishi wa migogoro ya ndoa.
Usuluishi kwa maana ya kunusuru zisivunjike kwani maamuzi ya watu wawili huathiri mtu wa tatu zaidi ambaye ni mtoto/watoto.
Kanisa kama moja ya vyombo vya usuluishi hujikita katika namna ya kunusuru hasara hiyo. Tofauti na imani zingine Ukristo umejikita katika kulinda ndoa...Ila inapofika mwisho wao hutoa kibali cha ndoa kuvunjika ( Mahakamani )

Je unataka Serikali ingie ndani zaidi ya hapo?

Kingine umeleta heresay data za serikali kuonyesha vifo vitokanavyo na talaka iko wapi? Namaanisha chanzo cha uhakika.
Serikali haina dini! Ila watu wake ndiyo wana dini! Mimi nimeshauri serikali ifanye upande wake, hayo mambo ya imani iwaachie wahusika wenyewe !

Mambo ya imani ya kikristo hayaruhusu kuzini au kuwa na wake zaidi ya mmoja lakini watu wake hufanya hivyo kwa siri! Sasa kama hilo wanaweza sioni tatizo kuwapunguzia kibano cha cheti cha ndoa kwa mwavuli wa dini.
Serikali ikae pembeni na cheti kisheria halafu imani iwaachie wahusika waamue wenyewe kama wataendelea kuishi kikristo au kipagani! Cha mhimu wasifungwe na cheti cha ndoa!
 
Nilichokiona kwa mleta mada ni ameongea sana ila hajasema kitu.
Kwa akili ya mtoto mdogo tu aliye mafundisho ya dini au madrasa nahisi angeweza kuweka mipaka ya imani na serikali
 
Ukiachana na Madawati ya kijinsia na polisi unafahamu uhusika wa kanisa katika kusuluhisha migogoro ya ndoa?
Mkuu wewe ni kasisi au?.

Maana si kwa hasira hizo utadhani jf hakuna wenye uelewa wa marriage issues!.
 
Ndoa iwe mkataba, anaekataa ana lake jambo. Mambo ya alichoungamisha Mungu yamepitwa na wakati.
 
Mkuu wewe ni kasisi au?.

Maana si kwa hasira hizo utadhani jf hakuna wenye uelewa wa marriage issues!.
Jamaa hajui hata ukubwa wa tatizo lilivyo kubwa huko mtaani
 
Tianzie hapa.

Hizo takwimu umezipata kutoka ktk chanzo kipi. Usikute ni chuki zako tu kwa wakristo ukaamua upike data. Au mkristo amekataa kukuoa kama mke wa pili ukaona uje upige kampen hapa ili upate nafasi ya kuwa mke mwenza
 
Tianzie hapa.

Hizo takwimu umezipata kutoka ktk chanzo kipi. Usikute ni chuki zako tu kwa wakristo ukaamua upike data. Au mkristo amekataa kukuoa kama mke wa pili ukaona uje upige kampen hapa ili upate nafasi ya kuwa mke mwenza
Naomba namba yako pm nikutumie hizo data mkuu!
 
Ni ujuha wa kiwango cha kimataifa kuamini kuwa Ndoa za kikristo hazina kuachana.
Kuachana kupo na ni halali, pia unaweza kuoa au kuolewa tena baada ya kuachana.
Kwanini Bibliia ina tafsiri nyingi?
Kwanini Bibliia ina lugha za kimafumbo?
 
Migogoro mingi ya ndoa ukipitia majarada ya kipolisi na dawati la jinsia utagundua kwamba kwa 70% ni kutokana na ndoa za kikristu na 15% ni ndoa za kiislam, 10% ni ndoa za kimila (unyumba na wengi wao waishio kinyumba ni wakristu) na 5% inachangiwa na ndugu wa wanandoa wenyewe

Hivyo ukichukua ile 70% na ile 10% ya ndoa za kimila za wakristu utaona karibia 80% ya ndoa zenye migogoro ni za wakristo!

Katika kuondoa tatizo hili serikali iruhusu utaratibu rahisi wa kuachana na kuoana kama ilivyo kwa waislam!

Haina maana itaingilia maandiko matakatifu la hasha cha mhimu nikuwaondolea cheti mkononi halafu
Maandiko wabaki wabaki nayo wahusika kwa imani zao lakini serikali ifanye upande wake!

After all cheti cha ndoa hutolewa na serikali ili wachungaji na wanandoa wasaini! Hivyo endapo wanandoa wamechokana. Waachane hata serikali ya mtaa!

Serikali iruhusu kufutwa ndoa hizo kisheria kwa utaratibu rahisi hata kupitia wakili au baraza la serikali ya mtaa.
Kuwepo na fomu katika ngazi ya mtaa inayoruhusu watu kuachana! Na ndoa hiyo kisheria isomeke imefutwa!

Nasema hivyo kwasababu migogoro mingi ya ndoa za kikristo wengi wameachana kimwili lakini hubaki kuwindana kufumaniana kutokana na kile kicheti cha ndoa ambacho huwa kina mlolongo mrefu sana hadi kufikia divorce!

Turuhusu watu waoane hata kwa wakili na waachane hata wakili!

Tutakuja kujua baadae kwamba tumechelewa!

Tabia za watu zimekuwa ngumu!
Sheria ya ndoa imepitwa na wakati!

Vichaa, vilema na mauaji mengi sana yanachangiwa na migogoro ya ndoa!

Serikali ifanye jambo kutokomeza
Sheria ni kichwa chako tu.Lile karatasi ni kumbukumbu.
 
Back
Top Bottom