Vifo na migogoro ya ndoa havitaisha hadi pale serikali ikiruhusu hili

Yanini yote hayo, si unaachana na Ukristo tu na kuwa Muislam.
 
#dmkali umeona mbali ambapo hata serekali haiwezi kupaona,
Ifahamike upo wakati ndoa huwa chungu na inapofikia hapo watu huweza kuuana,
Nature inaonyesha wababa wengi hawafi katika natural death vifo vyao hulazimishwa kwa namna mbalimbali.
That's why?....
All bright men after 50-55 yrs wana depart na wake zao aidha kujifanya unapapenda sana shamba ukalime ili kukaa tu mbali for safety.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…