Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Flat zinavumiliwa tu na kujifariji kwa angle nyingine labda hauchepuki, una upendo kwake na ndugu zake, una mipango na mikakati mizuri ya maisha n.k,
Hayo ndo yanakubeba! Kama unabisha mpe wazo kuwa umepata vidonge vya kuongeza mushepu uone atasemaje.
Ngoja tusubiri huenda ndio anapiga picha
Flat screen ninawakubali sana. Siyo wavivu na mna kawivu bhanaaHahahaha wivu kila mtu anao sasa mi wangu ana wivu zaidi kuliko mimi
Tunangoja picha najua saivi unafuta zile 99 unazoona hazijatoka vizuri ili ututumie hiyo moja ila zote ni wewe 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo ndio jibu face to face watu wanatoka nduki maana wanapenda matako balaa,au Picha za kushow off instagram
Basi kula avocado angalau uongeze minyama basi. Si unajua nayo muhimu kwenye papasoHataki kusikia vidonge wala nin kapenda nilivyo na mahaba yangu tu na hayo mengine ulosema
Flat screen ninawakubali sana. Siyo wavivu na mna kawivu bhanaa
Basi kula avocado angalau uongeze minyama basi. Si unajua nayo muhimu kwenye papaso
Aisee😀. Usimpelekeshe sana mwanaume mwenzetuIla tukikosana huwa ananichamba eti Yaan na flat hii kweli unanisumbua hivi ingekuwa una Kalio kubwa ungeshaniua [emoji23][emoji23]
Hilo unalijua wewe maana picha sinaMi ni plus size mkuu
Kweli kabisa waoze makalio,wanaume wenyewe hawaridhiki na mwanamke mmojaAcha waongeze makalio ili flat screen tubaki wachache
Sawa. Sasa na kapicha je!Acha waongeze makalio ili flat screen tubaki wachache
Don't mind haitokusaidia kituSawa. Sasa na kapicha je!
Siyo wote. Ni hao uliowaona tuKweli kabisa waoze makalio,wanaume wenyewe hawaridhiki na mwanamke mmoja
OkDon't mind haitokusaidia kitu
Wembamba haunanuhusiano na kalio wapo wembamba wanna makalioMimi mwembammba na mrefu,najikubali sana kuliko
Weye wa TangaeeHataki kusikia vidonge wala nin kapenda nilivyo na mahaba yangu tu na hayo mengine ulosema