Pongo Pongo
JF-Expert Member
- Jan 15, 2021
- 473
- 586
Hili swali limeshajibiwa. Afu watu kama nyie ndo wale mliokuwa mnamzingua Nuhu amtaki kuingia kwenye safina mapemaKosa lake ni lipi hapo???.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili swali limeshajibiwa. Afu watu kama nyie ndo wale mliokuwa mnamzingua Nuhu amtaki kuingia kwenye safina mapemaKosa lake ni lipi hapo???.
Huyo mtu wa juu keshapewa chanjo na wachina wake, mbinafsi kupindukiaViongozi wetu walitoa maneno ya dhihaka sana kuhusu gonjwa hili, hawakuacha maneno ya akiba, na licha ya gonjwa kurudi kwa kasi ya 4G ila bado wanaongea maneno ya uongo kwamba halipo (Wamelibatiza jina jipya Pnemonia).
Taifa lipo njia panda, wananchi wanataharuki wakisubiri tamko la serikali, ila serikali ipo kimya ikisisitiza hakuna Covid-19 kuhofia kuaibika mbele ya walimwengu.
Mpaka lije kuondoka na kigogo mmoja wa juu ndio akili zitawasogea. Na litaondoka tu na mtu wa juu hivi karibuni.
Nasema uongo ndugu zanguuuS
"Fatalia" ndiyo mdudu gani huyo?Acha kukurupuka fatalia uzi kuanzia mwanzo
Nenda kwenye mada kama ujaelewa kaa upande"Fatalia" ndiyo mdudu gani huyo?
Na nilichokosa tangu mwanzo ni kipi?
Kwenye mada wapi na upande wapi wewe poyoyo?Nenda kwenye mada kama ujaelewa kaa upande
Namwona umy mwalimu akimng'ong'a gwajima hapaViongozi wetu walitoa maneno ya dhihaka sana kuhusu gonjwa hili, hawakuacha maneno ya akiba, na licha ya gonjwa kurudi kwa kasi ya 4G ila bado wanaongea maneno ya uongo kwamba halipo (Wamelibatiza jina jipya Pnemonia).
Taifa lipo njia panda, wananchi wanataharuki wakisubiri tamko la serikali, ila serikali ipo kimya ikisisitiza hakuna Covid-19 kuhofia kuaibika mbele ya walimwengu.
Mpaka lije kuondoka na kigogo mmoja wa juu ndio akili zitawasogea. Na litaondoka tu na mtu wa juu hivi karibuni.
Nasema uongo ndugu zanguuu?
Utaanza wewe kwanza mjaa lana
Mpuuzi wewe unafikiri kitoto sana yaani watu wanamiaka 65 kwenda mbele na wanamaradhi yao wewe unazusha yako.Sasa unataka utangaziwe nini wakati uliambiwa tokea siku nyingi chukua tahadhari.Kuna watu mnatafuta umaarufu sana.Viongozi wetu walitoa maneno ya dhihaka sana kuhusu gonjwa hili, hawakuacha maneno ya akiba, na licha ya gonjwa kurudi kwa kasi ya 4G ila bado wanaongea maneno ya uongo kwamba halipo (Wamelibatiza jina jipya Pnemonia).
Taifa lipo njia panda, wananchi wanataharuki wakisubiri tamko la serikali, ila serikali ipo kimya ikisisitiza hakuna Covid-19 kuhofia kuaibika mbele ya walimwengu.
Mpaka lije kuondoka na kigogo mmoja wa juu ndio akili zitawasogea. Na litaondoka tu na mtu wa juu hivi karibuni.
Nasema uongo ndugu zanguuu?
Kigogo kitambo cpwaaa kwa sisi maselaKigogo ni nani!? Hata Cpwa ni Kigogo, au Mwandishi kaamua tu afanye Uchochezi!?
Momumo MwaisaHAKUNA UJANJA KILA MTU ATAONDOKA KWA STAILI YAKE! "AMUKUJONGA JUMO JUMO" !!
Sasa haya madai ya kukimbilia huko chato vp kama ameshapewa chanjo?Huyo mtu wa juu keshapewa chanjo na wachina wake, mbinafsi kupindukia
Ameandika ,,simanzi,, siyo kushangiliwa. "upuuzi" ×2Ujumbe gani anaotuma ? Hivi kifo nacho kinashangiliwa this is "upuuzi"