Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PolepoleKiongozi yupi hapo ambaye anasikilizwa na watu wake kwa kila atakacho ongea? View attachment 1686448View attachment 1686450
Elimu tu ingetosha kuelezea sio kama alivyoamua kufanyaMkuu kumbuka mpaka numbers zimetolewa mitandaoni na TCRA kwamba ukiona mtu anazungumzia uwepo wa huu ugonjwa nchini screenshot sms zake na number then utume katika hizo number alokezi. Je kwa mustakabali huo ulitaka auongelee huo ugonjwa wakati serikali haitambui uwepo wa Covid-19?
That's a clear and precise massage kuwa atakayeelewa na aelewe.
Haha ulitaka aitwe chumba cha giza tele au aokotwe so mabwepande tena au Ununio bali.......😆😆🙊El
Elimu tu ingetosha kuelezea sio kama alivyoamua kufanya
Mkuu umeanza vizuri ila umemaliza vibaya, sisi watz sio kondoo bhana naona umekosa uzalendoSidhani.. at least elements za kugomea yale yaliyofanyika kwenye uchaguzi uliopita zingejionesha ningesema labda au ni swala la muda. Kuna watu wanaendelea kunenepa na kujitunisha kwa ukondoo wa watanzania😆😭
Mbona yameshasemwa mno wewe hujui?
Kwa maana kumbukumbu zako zaonyesha walakini, nakupa sasa moja tu ili usisahau tena:
A waachie wataalamu wa afya uongozi wa vita dhidi ya gonjwa hili. Are we asking for too much?
We can't breathe!
Ilo ndo la msingi sahivi na kauli mbiu ni "usafi kwanza"
Labda kama maana ya uzalendo sijui Ila nijuavyo mzalendo ni yule mtu ambaye yuko tayari kufa kwaajiri ya maslahi ya nchi yake na si kwaajili ya maslahi ya viongozi wake au tumbo lake.Mkuu umeanza vizuri ila umemaliza vibaya, sisi watz sio kondoo bhana naona umekosa uzalendo
Watu wanapenda sana giza giza ndio maana tunaangamia.Labda kama maana ya uzalendo sijui Ila nijuavyo mzalendo ni yule mtu ambaye yuko tayari kufa kwaajiri ya maslahi ya nchi yake na si kwaajili ya maslahi ya viongozi wake au tumbo lake.
Kwa hiyo ww ulitaka afiche kama hawajafa ?Author wa hilo gazeti ameona ni sifa kuchapicha gazeti namna hiyo au ?
Waandishi wa siku duh ! E Mungu tuepushe kwenye hili janga.
Hatuna bahati hiyo.Bado Jiwe.
Sawa. Aya jitahidi kujenga hoja zenye manufaa ya kwa jamii na taifa lakoLabda kama maana ya uzalendo sijui Ila nijuavyo mzalendo ni yule mtu ambaye yuko tayari kufa kwaajiri ya maslahi ya nchi yake na si kwaajili ya maslahi ya viongozi wake au tumbo lake.
Wewe ni mjumbe wa ibilisi.Una kazi ya kuingiza hofu na kujaribu kushawishi hatua zichukuliwe kama vile kufunga vyuo,mashule na shughuli za burudani na michezo.
Unataka watu walazimishwe kuvaa barakoa za vitenge na au kufanya kazi tokea nyumbani.
Najiuliza tu sijui una maslahi gani katika hili tatizo kama lipo kweli.Kamwe hutashuhudia mateso ya wanyonge wakiteseka kwa kujifungia ndani.Ushindwe na ulegee kwa maana utukufu ni kwa Mungu wetu.Usitake huyo unayemwabudu ajiinue dhidi ya Mungu wa miungu.
Ni usafi binafsi tu, hayo mambo mengine tuwaachie wanasiasaIlo ndo la msingi sahivi na kauli mbiu ni "usafi kwanza"
Zenye manufaa ya kulinda watawala, sema hivyo tuSawa. Aya jitahidi kujenga hoja zenye manufaa ya kwa jamii na taifa lako
Mkuu jiulize hivi: siku zote anafanyaga hivyo ? Ukipata jibu jipige ngumi usoni kisha useme ww ni Mwamba.Kwa hiyo ww ulitaka afiche kama hawajafa ?
Imeisha hiyoNi usafi binafsi tu, hayo mambo mengine tuwaachie wanasiasa
Kulinda watawala hiyo ni kazi ya vyombo vya usalama mkuu.Zenye manufaa ya kulinda watawala, sema hivyo tu
Inaelekea kuna mambo mengi huyaelewi kuhusu security details ya Rais akiwa Chato. Ukiyaelewa utaamini kuwa kweli amekimbilia Chato au ameikimbia Dodoma!Maisha ya rais na yetu ni tofauti,angekuwa nae anapanda madaladala au kupishana na misongamano ya watu huko kama sisi basi tusingesema kweli amekimbia maambukizi.
Sasa haya madai ya kukimbia hata siyaelewi ukizingatia huko alipo sio kisiwa nako na pia wala hata barakoa havai na anashikana tu na watu mikono kama kawaida.