Vifo vya vigogo vyaacha Simanzi

Vifo vya vigogo vyaacha Simanzi

Watu waliopigwa na rona ile serious yani wanachukua tahadhari kuliko kawaida.
 
El
Mkuu kumbuka mpaka numbers zimetolewa mitandaoni na TCRA kwamba ukiona mtu anazungumzia uwepo wa huu ugonjwa nchini screenshot sms zake na number then utume katika hizo number alokezi. Je kwa mustakabali huo ulitaka auongelee huo ugonjwa wakati serikali haitambui uwepo wa Covid-19?
That's a clear and precise massage kuwa atakayeelewa na aelewe.
Elimu tu ingetosha kuelezea sio kama alivyoamua kufanya
 
Sidhani.. at least elements za kugomea yale yaliyofanyika kwenye uchaguzi uliopita zingejionesha ningesema labda au ni swala la muda. Kuna watu wanaendelea kunenepa na kujitunisha kwa ukondoo wa watanzania😆😭
Mkuu umeanza vizuri ila umemaliza vibaya, sisi watz sio kondoo bhana naona umekosa uzalendo
 
Wewe ni mjumbe wa ibilisi.Una kazi ya kuingiza hofu na kujaribu kushawishi hatua zichukuliwe kama vile kufunga vyuo,mashule na shughuli za burudani na michezo.

Unataka watu walazimishwe kuvaa barakoa za vitenge na au kufanya kazi tokea nyumbani.
Najiuliza tu sijui una maslahi gani katika hili tatizo kama lipo kweli.Kamwe hutashuhudia mateso ya wanyonge wakiteseka kwa kujifungia ndani.Ushindwe na ulegee kwa maana utukufu ni kwa Mungu wetu.Usitake huyo unayemwabudu ajiinue dhidi ya Mungu wa miungu.
Mbona yameshasemwa mno wewe hujui?

Kwa maana kumbukumbu zako zaonyesha walakini, nakupa sasa moja tu ili usisahau tena:

A waachie wataalamu wa afya uongozi wa vita dhidi ya gonjwa hili. Are we asking for too much?

We can't breathe!
 
Mkuu umeanza vizuri ila umemaliza vibaya, sisi watz sio kondoo bhana naona umekosa uzalendo
Labda kama maana ya uzalendo sijui Ila nijuavyo mzalendo ni yule mtu ambaye yuko tayari kufa kwaajiri ya maslahi ya nchi yake na si kwaajili ya maslahi ya viongozi wake au tumbo lake.
 
Labda kama maana ya uzalendo sijui Ila nijuavyo mzalendo ni yule mtu ambaye yuko tayari kufa kwaajiri ya maslahi ya nchi yake na si kwaajili ya maslahi ya viongozi wake au tumbo lake.
Watu wanapenda sana giza giza ndio maana tunaangamia.
 
Labda kama maana ya uzalendo sijui Ila nijuavyo mzalendo ni yule mtu ambaye yuko tayari kufa kwaajiri ya maslahi ya nchi yake na si kwaajili ya maslahi ya viongozi wake au tumbo lake.
Sawa. Aya jitahidi kujenga hoja zenye manufaa ya kwa jamii na taifa lako
 
Wewe ni mjumbe wa ibilisi.Una kazi ya kuingiza hofu na kujaribu kushawishi hatua zichukuliwe kama vile kufunga vyuo,mashule na shughuli za burudani na michezo.

Unataka watu walazimishwe kuvaa barakoa za vitenge na au kufanya kazi tokea nyumbani.
Najiuliza tu sijui una maslahi gani katika hili tatizo kama lipo kweli.Kamwe hutashuhudia mateso ya wanyonge wakiteseka kwa kujifungia ndani.Ushindwe na ulegee kwa maana utukufu ni kwa Mungu wetu.Usitake huyo unayemwabudu ajiinue dhidi ya Mungu wa miungu.

Wewe wala si malaika. Wewe ni ibilisi mwenyewe. Haikufikirishi watu kufa. Uko kama una maslahi na kila kifo.

Kwanini nia yenu ni kupotosha tu kuwa kuchukua hatua dhidi ya ugonjwa huu ni kufungia watu ndani au kufunga mashule?

Kwanini ni nia yenu kupotosha kuwa serikali haziwajibiki kwa maisha ya watu kwenye dharura kama hizi. Serikali zisizowafaa wananchi wake wakati wa dhiki zitakuwa na umuhimu gani basi?

Mna maslahi gani na upotoshaji kama huu wakati maisha ya watu yanapotea kama hivi?
 
Maisha ya rais na yetu ni tofauti,angekuwa nae anapanda madaladala au kupishana na misongamano ya watu huko kama sisi basi tusingesema kweli amekimbia maambukizi.

Sasa haya madai ya kukimbia hata siyaelewi ukizingatia huko alipo sio kisiwa nako na pia wala hata barakoa havai na anashikana tu na watu mikono kama kawaida.
Inaelekea kuna mambo mengi huyaelewi kuhusu security details ya Rais akiwa Chato. Ukiyaelewa utaamini kuwa kweli amekimbilia Chato au ameikimbia Dodoma!
 
Back
Top Bottom