Utaanza wewe kwanza mjaa lanaBado Jiwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaanza wewe kwanza mjaa lanaBado Jiwe.
Hapo naona mnavyofurahi wapuuzi nyieKosa la mwandishi liko wapi hapo? Tuacheni unafiki. Wacha sauti zipazwe hatuwezi kupumua.
Tunasikia tanzia kwa sababu tungali hai. Hamtaki tusizikie pia tukiwa hai? Uwezo wa kupisha vifo hivi u mikononi mwetu sisi na hasa kwa viongozi wetu.
Makelele ya kheri haya ni kuwataka viongozi wetu kiroho safi kuamka na kuchukua hatua.
Tutawapongeza mno kwa kuchukua hatua na tutawapigia kelele mno kwa kutokuchukua hatua.
Cpwa ni mwanamziki kigogo. Kila nguli katika shughuli yake ni kigogo.Kigogo ni nani!? Hata Cpwa ni Kigogo,au Mwandishi kaamua tu afanye Uchochezi!?
Wwe unataka hatua gani zichukuliwe na Viongozi wako!?
Hapo naona mnavyofurahi wapuuzi nyie
Wadangaji ni nyie na TototunduWewe endelea na kazi yako ya kudanga. Hiyo ndiyo uiwezayo.
Kufilia mbali ili pengine wajukuu wenu wafaidiWe can't breathe!
We can't breathe!Kufilia mbali ili pengine wajukuu wenu wafaidi
Ona kwa wenzetu hasaWe can't breathe!
Ona kwa wenzetu hasa
Eti kagonjwa kadogo! Sasa kama ni kagonjwa kadogo mbona kaikimbia Dodoma?
Viongozi wetu walitoa maneno ya dhihaka sana kuhusu gonjwa hili, hawakuacha maneno ya akiba, na licha ya gonjwa kurudi kwa kasi ya 4G ila bado wanaongea maneno ya uongo kwamba halipo (Wamelibatiza jina jipya Pnemonia).
Taifa lipo njia panda, wananchi wanataharuki wakisubiri tamko la serikali, ila serikali ipo kimya ikisisitiza hakuna Covid-19 kuhofia kuaibika mbele ya walimwengu.
Mpaka lije kuondoka na kigogo mmoja wa juu ndio akili zitawasogea. Na litaondoka tu na mtu wa juu hivi karibuni.
Maisha ya rais na yetu ni tofauti,angekuwa nae anapanda madaladala au kupishana na misongamano ya watu huko kama sisi basi tusingesema kweli amekimbia maambukizi.
Sasa haya madai ya kukimbia hata siyaelewi ukizingatia huko alipo sio kisiwa nako na pia wala hata barakoa havai na anashikana tu na watu mikono kama kawaida.
Nyomi za mikutano ya kampeni zilikuwa zinashindanishwa kati ya Magufuli na Lissu bila kujali corona,ila leo tunaambizana kurudi kwa corona halafu lawama anazipata Magufuli na serikali yake tu.Viongozi wetu walitoa maneno ya dhihaka sana kuhusu gonjwa hili, hawakuacha maneno ya akiba, na licha ya gonjwa kurudi kwa kasi ya 4G ila bado wanaongea maneno ya uongo kwamba halipo (Wamelibatiza jina jipya Pnemonia).
Taifa lipo njia panda, wananchi wanataharuki wakisubiri tamko la serikali, ila serikali ipo kimya ikisisitiza hakuna Covid-19 kuhofia kuaibika mbele ya walimwengu.
Mpaka lije kuondoka na kigogo mmoja wa juu ndio akili zitawasogea. Na litaondoka tu na mtu wa juu hivi karibuni.