Vifo vya vigogo vyaacha Simanzi

Vifo vya vigogo vyaacha Simanzi

Kosa la mwandishi liko wapi hapo? Tuacheni unafiki. Wacha sauti zipazwe hatuwezi kupumua.

Tunasikia tanzia kwa sababu tungali hai. Hamtaki tusizikie pia tukiwa hai? Uwezo wa kupisha vifo hivi u mikononi mwetu sisi na hasa kwa viongozi wetu.

Makelele ya kheri haya ni kuwataka viongozi wetu kiroho safi kuamka na kuchukua hatua.

Tutawapongeza mno kwa kuchukua hatua na tutawapigia kelele mno kwa kutokuchukua hatua.
Hapo naona mnavyofurahi wapuuzi nyie
 
Wwe unataka hatua gani zichukuliwe na Viongozi wako!?

Mbona yameshasemwa mno wewe hujui?

Kwa maana kumbukumbu zako zaonyesha walakini, nakupa sasa moja tu ili usisahau tena:

A waachie wataalamu wa afya uongozi wa vita dhidi ya gonjwa hili. Are we asking for too much?

We can't breathe!
 

Attachments

  • 91105571-2402-4FCE-BE51-A04C34B34E9B.jpeg
    91105571-2402-4FCE-BE51-A04C34B34E9B.jpeg
    100.7 KB · Views: 1
Eti kagonjwa kadogo! Sasa kama ni kagonjwa kadogo mbona kaikimbia Dodoma?

Maisha ya rais na yetu ni tofauti,angekuwa nae anapanda madaladala au kupishana na misongamano ya watu huko kama sisi basi tusingesema kweli amekimbia maambukizi.

Sasa haya madai ya kukimbia hata siyaelewi ukizingatia huko alipo sio kisiwa nako na pia wala hata barakoa havai na anashikana tu na watu mikono kama kawaida.
 
Swali la msingi CORONA ya TANZANIA inaambukiza au HAIAMBUKIZI?
Viongozi wetu walitoa maneno ya dhihaka sana kuhusu gonjwa hili, hawakuacha maneno ya akiba, na licha ya gonjwa kurudi kwa kasi ya 4G ila bado wanaongea maneno ya uongo kwamba halipo (Wamelibatiza jina jipya Pnemonia).

Taifa lipo njia panda, wananchi wanataharuki wakisubiri tamko la serikali, ila serikali ipo kimya ikisisitiza hakuna Covid-19 kuhofia kuaibika mbele ya walimwengu.

Mpaka lije kuondoka na kigogo mmoja wa juu ndio akili zitawasogea. Na litaondoka tu na mtu wa juu hivi karibuni.
 

Lini chato imekuwa ni Ikulu nyingine? Endelea kutoelewa lakini siku ukitia akili kichwani utaelewa tu. Waliomtangulia wote hawakufanya huu upuuzi unaoendelea sasa.

Maisha ya rais na yetu ni tofauti,angekuwa nae anapanda madaladala au kupishana na misongamano ya watu huko kama sisi basi tusingesema kweli amekimbia maambukizi.


Sasa haya madai ya kukimbia hata siyaelewi ukizingatia huko alipo sio kisiwa nako na pia wala hata barakoa havai na anashikana tu na watu mikono kama kawaida.
 
Viongozi wetu walitoa maneno ya dhihaka sana kuhusu gonjwa hili, hawakuacha maneno ya akiba, na licha ya gonjwa kurudi kwa kasi ya 4G ila bado wanaongea maneno ya uongo kwamba halipo (Wamelibatiza jina jipya Pnemonia).

Taifa lipo njia panda, wananchi wanataharuki wakisubiri tamko la serikali, ila serikali ipo kimya ikisisitiza hakuna Covid-19 kuhofia kuaibika mbele ya walimwengu.

Mpaka lije kuondoka na kigogo mmoja wa juu ndio akili zitawasogea. Na litaondoka tu na mtu wa juu hivi karibuni.
Nyomi za mikutano ya kampeni zilikuwa zinashindanishwa kati ya Magufuli na Lissu bila kujali corona,ila leo tunaambizana kurudi kwa corona halafu lawama anazipata Magufuli na serikali yake tu.
 
Back
Top Bottom