Vifo vya vigogo vyaacha Simanzi

Huyo mtu wa juu keshapewa chanjo na wachina wake, mbinafsi kupindukia
 
Trump alipata mapema mlipuko wa Covid-19 lakini hakuchukua hatua zozote za lazima, Matokeo yake maelfu kwa maelfu ya wamarekani walipukutika wanaendelea kupukutika, kwa sababu ya kiongozi asieshaurika.
 
Namwona umy mwalimu akimng'ong'a gwajima hapa
 
Mpuuzi wewe unafikiri kitoto sana yaani watu wanamiaka 65 kwenda mbele na wanamaradhi yao wewe unazusha yako.Sasa unataka utangaziwe nini wakati uliambiwa tokea siku nyingi chukua tahadhari.Kuna watu mnatafuta umaarufu sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…