Vifo vya watu 14: Mkuu wa Mkoa Mwanza awajibike

Vifo vya watu 14: Mkuu wa Mkoa Mwanza awajibike

masopakyindi

Platinum Member
Joined
Jul 5, 2011
Posts
18,207
Reaction score
13,839
Ajali za magari ya serikali sasa zimekithiri.
Watu wanakufa kama kuku na makosa yanalundikwa kwa dereva tu.

Sasa inabidi iwepo uwajibikaji kisiasa kwa makosa ambayo inaelekea usimamizi wa sheria na kanuni za barabarani ni hafifu.

Kuua kwa mpigo watu 14 hawezi laumiwa dereva peke yake.

Mkuu wa msafara aliyekuwa katika ziara, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza AJIUZULU kwa kuwajibika.

Tukumbuke Rais Mwinyi alipokuwa Mkuu wa Mkoa nafikiri huohuo wa Mwanza, kuna wafungwa walikufa kwa kukosa hewa lupango.

Alijiuzulu hatama hakuhusika mija kwa moja.

Katika hili kuna uhusika wa Mkuu wa Mkoa: AJIUZULU.

Hii ni kwa heshima ya marehemu.

SAHIHISHO
Mwinyi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, wakati wa vifo vya mahabusu Shinyanga.
Mzee Mwinyi ali set precedence ya principle ya uwajibikaji ambayo hadi leo viongozi wengi wanashindwa kuifuata.
 
Sheria Zinamkandamiza Dereva Tu
Awajibike RC Haraka
 
Msamiati wa kujiuzulu haupo afrika,ukiona mtu kajiuzulu ameshiba.

Ndugai kajiuzulu sababu anao uhakika wa kushiba kodi zetu hadi anaondoka duniani, angekuwa na njaa asinge
 
Basi kama ni uzembe awajibike IGP na waziri wa mambo ya ndani. Mkuu wa mkoa hahusiki
Vichwa vikatike kwa uzembe, hatuwezi kundelea kuchekeana wakati watawala wasimamizi wapo.
Tuanze na mhusika moja kwa moja, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.
 
Kwani mkuu wa mkoa ndiye aliye sababisha tair ya mbele ya gari ipasuke?

Hiyo ni ajali kama ajali zingine zilivyo msianze kutafuta watu kwa kuwaonea
 
Msamiati wa kujiuzulu haupo afrika,ukiona mtu kajiuzulu ameshiba.
Ndugai kajiuzulu sababu anao uhakika wa kushiba kodi zetu hadi anaondoka duniani, angekuwa na njaa asinge
Viongozi wa Afrika toka lini wameanza kushiba?unafikiria hata huyo Ndugai hakupenda kuendelea kuziongeza?kwa sakata lake hilo hakuwa na jinsi nyingine zaidi ya kufanya alichofanya, hasa baada ya hotuba ya mama aliposhusha msumali wa utosini!!!
 
Vichwa vikatike kwa uzembe, hatuwezi kundelea kuchekeana wakati watawala wasimamizi wapo.
Tuanze na mhusika moja kwa moja, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza.
Halaf unavyokuwa unaandika uwe una uhakika na unachokiandika, sio unajiandikia tu. Wakati Ali Hassan Mwinyi anajiuzulu kwasababu ya kufa kwa mahabusu huko Shinyanga, Mwinyi alikuwa ni Waziri wa mambo ya ndani, sio mkuu wa mkoa kama unavyosema wewe.

Na huo msongamano wa wafungwa ulitokea Mwinyi akiwa Dar, lakin Mkuu wa mkoa wa Shinyanga wa kipindi hicho hakujiuzulu japo watu waliokufa walikuwa wapo ndani ya eneo lake. Aliyewajibika ni waziri husika na sio mkuu wa mkoa
 
Halaf unavyokuwa unaandika uwe una uhakika na unachokiandika, sio unajiandikia tu. Wakati Ali Hassan Mwinyi anajiuzulu kwasababu ya kufa kwa mahabusu huko Shinyanga, Mwinyi alikuwa ni Waziri wa mambo ya ndani, sio mkuu wa mkoa kama unavyosema wewe. Na huo msongamano wa wafungwa ulitokea Mwinyi akiwa Dar, lakin Mkuu wa mkoa wa Shinyanga wa kipindi hicho hakujiuzulu japo watu waliokufa walikuwa wapo ndani ya eneo lake. Aliyewajibika ni waziri husika na sio mkuu wa mkoa
Hiyo haiondoi msimami wa dhana ya uwajibikaji.
Watu 14 wanakufa under yiur watch na viongizi wanakenua meno.
 
Halaf unavyokuwa unaandika uwe una uhakika na unachokiandika, sio unajiandikia tu. Wakati Ali Hassan Mwinyi anajiuzulu kwasababu ya kufa kwa mahabusu huko Shinyanga, Mwinyi alikuwa ni Waziri wa mambo ya ndani, sio mkuu wa mkoa kama unavyosema wewe. Na huo msongamano wa wafungwa ulitokea Mwinyi akiwa Dar, lakin Mkuu wa mkoa wa Shinyanga wa kipindi hicho hakujiuzulu japo watu waliokufa walikuwa wapo ndani ya eneo lake. Aliyewajibika ni waziri husika na sio mkuu wa mkoa
Mwinyi alishiba Iman ya dini yake akaona hatia.
Imani ya dini yake ndiyo iliyomfanya akawatendea wema watz na Mungu kambariki miaka mingi mia atapita.
Wenzake wote waliowatendea mabaya watz wametangulia.Hata JK atagonga mia zaidi na ushee.
 
Back
Top Bottom