Vifo vya watu 14: Mkuu wa Mkoa Mwanza awajibike

Vifo vya watu 14: Mkuu wa Mkoa Mwanza awajibike

Madereva wanaoendesha stk, stl dfp na magari ya jeshi wanajiona wapo juu ya sheria
 
Ajali za magari ya serikali sasa zimekithiri.
Watu wanakufa kama kuku na makosa yanalundikwa kwa dereva tu.

Sasa inabidi iwepo uwajibikaji kisiasa kwa makosa ambayo inaelekea usimamizi wa sheria na kanuni za barabarani ni hafifu.

Kuua kwa mpigo watu 14 hawezi laumiwa dereva peke yake.

Mkuu wa msafara aliyekuwa katika ziara, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza AJIUZULU kwa kuwajibika.

Tukumbuke Rais Mwinyi alipokuwa Mkuu wa Mkoa nafikiri huohuo wa Mwanza, kuna wafungwa walikufa kwa kukosa hewa lupango.

Alijiuzulu hatama hakuhusika mija kwa moja.

Katika hili kuna uhusika wa Mkuu wa Mkoa: AJIUZULU.

Hii ni kwa heshima ya marehemu.

SAHIHISHO
Mwinyi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, wakati wa vifo vya mahabusu Shinyanga.
Mzee Mwinyi ali set precedence ya principle ya uwajibikaji ambayo hadi leo viongozi wengi wanashindwa kuifuata.
Mkuu wa mkoa wa Mwanza alienda kufanya nini mkoa wa Simiyu na waandishi wa habari waliopandishwa kwenye magari ya serikali yasio na bima huku yakiendeshwa kizembe kiasi hicho?
 
Kwa hiyo kwa vile ni wa serikali, ruksa kuua kwa ajsli.
Sanasana rambirambi zinawahusu.
As far as i know ajali inakuja in different shape and reasons. Haimaanish kuwa wanaua makusudi nope.. kama madereva wengine walivyo hakuna anaekusudia apate ajali au asababishe ajali.

Mimi sio dereva wa serikali. Lakin fact is ni wa serikali hata muwaandame vip bado ni sehem ya serikal na hamtowafanya chochote
 
Kweli inasikitisha sana

IMG-20220112-WA0009.jpg
 
As far as i know ajali inakuja in different shape and reasons. Haimaanish kuwa wanaua makusudi nope.. kama madereva wengine walivyo hakuna anaekusudia apate ajali au asababishe ajali.

Mimi sio dereva wa serikali. Lakin fact is ni wa serikali hata muwaandame vip bado ni sehem ya serikal na hamtowafanya chochote
Kwa hiyo business as usual.
Hayo ni mawazo ya bench polishera and file pushers.
Do they care?
No!
Naunga mkono its time mtu anawajibika, Mkuu wa Mkia.
 
Kwa hiyo business as usual.
Hayo ni mawazo ya bench polishera and file pushers.
Do they care?
No!
Naunga mkono its time mtu anawajibika, Mkuu wa Mkia.
Business as usual. Unadhan kuna mtu atawawajibisha?
Hao hao unatarajia wawa wajibishe ndio hao hao wanaowatumia.
Unadhani nn kitatokea?

Sisemi its impossible. Lakin mwenye guts za kufanya hivyo yuko wapi?
 
Mkuu wa mkoa wa Mwanza alienda kufanya nini mkoa wa Simiyu na waandishi wa habari waliopandishwa kwenye magari ya serikali yasio na bima huku yakiendeshwa kizembe kiasi hicho?
Waandishi wa habari hawathaminiwi na viongizi.
Wanaswagwa kama ngombe, ilimradi wamwandike vizuri huyo kiongozi.
 
Back
Top Bottom