Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu hawaelewi hii logic.Waliokufa ni binadamu ,siyo mbuzi.
Tukutakie heri ufiwe kwa staili hii, ndiyo utaielewa mada.
Ofcourse wako juu ya sheria but indirect. Na hawaguswi maana ni sehem ya serikaliMadereva wanaoendesha stk, stl dfp na magari ya jeshi wanajiona wapo juu ya sheria
Yeye ndo amewaua?
Kwa hiyo kwa vile ni wa serikali, ruksa kuua kwa ajsli.Ofcourse wako juu ya sheria but indirect. Na hawaguswi maana ni sehem ya serikali
Mkuu wa mkoa wa Mwanza alienda kufanya nini mkoa wa Simiyu na waandishi wa habari waliopandishwa kwenye magari ya serikali yasio na bima huku yakiendeshwa kizembe kiasi hicho?Ajali za magari ya serikali sasa zimekithiri.
Watu wanakufa kama kuku na makosa yanalundikwa kwa dereva tu.
Sasa inabidi iwepo uwajibikaji kisiasa kwa makosa ambayo inaelekea usimamizi wa sheria na kanuni za barabarani ni hafifu.
Kuua kwa mpigo watu 14 hawezi laumiwa dereva peke yake.
Mkuu wa msafara aliyekuwa katika ziara, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza AJIUZULU kwa kuwajibika.
Tukumbuke Rais Mwinyi alipokuwa Mkuu wa Mkoa nafikiri huohuo wa Mwanza, kuna wafungwa walikufa kwa kukosa hewa lupango.
Alijiuzulu hatama hakuhusika mija kwa moja.
Katika hili kuna uhusika wa Mkuu wa Mkoa: AJIUZULU.
Hii ni kwa heshima ya marehemu.
SAHIHISHO
Mwinyi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, wakati wa vifo vya mahabusu Shinyanga.
Mzee Mwinyi ali set precedence ya principle ya uwajibikaji ambayo hadi leo viongozi wengi wanashindwa kuifuata.
Ukipanda gari ya serikali, na mko kwenye msafara, rambirambi inakuhusu.Mkuu wa mkoa wa Mwanza alienda kufanya nini mkoa wa Simiyu na waandishi wa habari waliopandishwa kwenye magari ya serikali yasio na bima huku yakiendeshwa kizembe kiasi hicho?
As far as i know ajali inakuja in different shape and reasons. Haimaanish kuwa wanaua makusudi nope.. kama madereva wengine walivyo hakuna anaekusudia apate ajali au asababishe ajali.Kwa hiyo kwa vile ni wa serikali, ruksa kuua kwa ajsli.
Sanasana rambirambi zinawahusu.
Kwa hiyo business as usual.As far as i know ajali inakuja in different shape and reasons. Haimaanish kuwa wanaua makusudi nope.. kama madereva wengine walivyo hakuna anaekusudia apate ajali au asababishe ajali.
Mimi sio dereva wa serikali. Lakin fact is ni wa serikali hata muwaandame vip bado ni sehem ya serikal na hamtowafanya chochote
Business as usual. Unadhan kuna mtu atawawajibisha?Kwa hiyo business as usual.
Hayo ni mawazo ya bench polishera and file pushers.
Do they care?
No!
Naunga mkono its time mtu anawajibika, Mkuu wa Mkia.
Waandishi wa habari hawathaminiwi na viongizi.Mkuu wa mkoa wa Mwanza alienda kufanya nini mkoa wa Simiyu na waandishi wa habari waliopandishwa kwenye magari ya serikali yasio na bima huku yakiendeshwa kizembe kiasi hicho?