masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
- Thread starter
- #21
Alikuwa mkuu wa msafara.Sasa mkuu wa mkoa amefanya nini katika ajali hiyo kiasi ajiuzuru?
Ukifiwa kwa uzembe utashangilia sana, maana mambumbumbu na mazezeta mnao amini vifo vyote ni kudra ya Mola mko wengi.Halafu eti ni JF EXPERT. PUMBAFF KABISA
Uwezo wenu wa kufikiri unaishia hapo.