Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,503
- 6,415
Sawa!! Dukani kwake kulikuwa kama ni kituo cha watu wanaokwenda Mbugani Ruaha!!
Kweli bana daaah! Mzee Mbata hatunae aiseee! Naambiwa wiki iliyopita tu hapa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa!! Dukani kwake kulikuwa kama ni kituo cha watu wanaokwenda Mbugani Ruaha!!
Sio vizuri kutaja majina ya wafu wa watu.
Lakini jana tena tumempoteza Askari Polisi maarufu sana aliyekuwa ana marafiki wa kila rika na hali. Siku tano Kabla yake aliyekuwa Dereva wa OCD naye alipoteza maisha katika staili inayofikirisha sana.
Hii inamaanisha nini? Kuna mahali nimesema watu maarufu huwa hawafi ama ni maskini ndiyo wanatakiwa wafe? Umesoma nilichoandika ama unachangia kwa kusoma tu kichwa cha habari??Hivi bado hamshindwi tu, kwani mtu maarufu akifa kunatatizo gn? Unataka wafe masikini tu ee
Nmesoma. Chakukufikirisha n nn hapo hao watu maarufu waliokufa wamefika hata kumi. Hv hujawahi kusikia familia moja wamekufa hata watu watano mbona haiwi ishu sana.Hii inamaanisha nini? Kuna mahali nimesema watu maarufu huwa hawafi ama ni maskini ndiyo wanatakiwa wafe? Umesoma nilichoandika ama unachangia kwa kusoma tu kichwa cha habari??
Usibishane na uhalisia wa maisha. Wale watu zaidi ya 100 waliokufa pale Morogoro kwa ajali ya moto unadhani ndani mwao angekuwepo na Paul Makonda unadhani habari ile ingeandikwa kama vile ilivyokuwa imeandikwa.Nmesoma. Chakukufikirisha n nn hapo hao watu maarufu waliokufa wamefika hata kumi. Hv hujawahi kusikia familia moja wamekufa hata watu watano mbona haiwi ishu sana.
Yaan nakusoma vzuri unashindwa tu kuiongelea korona lakini kwa mtu muelewa unataka watu wachukulie vifo hvyo km vinahusiana na korona. Ok hao polisi wanafika hata watano. Nilishashuhudia familia moja inapoteza watu watano kwa wakati mmoja lakini sikuwa na mawazo km ya kwako coz nilijua ni majanga tu ya dunia kunawakati upepo wa kuondokewa wapendwa wetu unakua mkubwa kunawakati unaenda taratibu hususani kwa wale unaowajua.Usibishane na uhalisia wa maisha. Wale watu zaidi ya 100 waliokufa pale Morogoro kwa ajali ya moto unadhani ndani mwao angekuwepo na Paul Makonda unadhani habari ile ingeandikwa kama vile ilivyokuwa imeandikwa.
Kwa mfano si kawaida Polisi kufa kwa kufuatana hapa Iringa tena wote wanaofahamika kwa vifo vinavyofanana. Sasa sisi wana Iringa kushangaa unatushangaa nini?
Mawazo yako si mawazo yangu!!Yaan nakusoma vzuri unashindwa tu kuiongelea korona lakini kwa mtu muelewa unataka watu wachukulie vifo hvyo km vinahusiana na korona.
Ndio mkuu mzee wetu tulimpenda sana.Mzee Mbata yupi? Wa hapo sokoni kuangalia polisi?
Sasa tutaaminije kama maarufu? Askari akiwa rafiki yako anakuwa maarufu tayari? Kwa jinsi kichwa cha habari kilivyo basi ingependeza ungewata, bila hivyo uzi unapungua uzito
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekazania mara ngapi mkuu? Au hujui maana ya kukazania?Vipi mbona umekazania sana!,awataje marehemu kulikoni?
Chukua tahadhari Corona ipo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama huwezi kutaja majina umeleta habari ili tukupe majibu?Sio vizuri kutaja majina ya wafu wa watu.
Lakini jana tena tumempoteza Askari Polisi maarufu sana aliyekuwa ana marafiki wa kila rika na hali. Siku tano Kabla yake aliyekuwa Dereva wa OCD naye alipoteza maisha katika staili inayofikirisha sana.
Kwanini Mkuu?Wakati niko Iringa sikuwahi kufikiri kama Lusekelo anaweza kuwa mchungaji..... mambo hubadilika sana!
Jamaa nilikuwa namuona mtu wa dilidili pale mjini japo alikuwa na utulivu fulani!
Kwa takribani siku kumi zilizopita vimetokea mfululizo vifo kadhaa vya watu maarufu hapa Iringa hadi kuzusha maswali mengi sana.
Inawezekana Mungu ameamua kuchukua watu maarufu wanaofahamika hapa Iringa ili kuleta watu wengine maarufu wa kizazi hiki. Lakini inafikirisha sana!!
Man, msapulo daaah. Mkangafu daaah. Born n raised IR. Mkwamisi pure.Mkangafu wa hatari na nimepiga na msapulo na kande!! Karibu sana nipo hapa Ipogolo kwa Mwagongo!!
Ungetutajia hao watu ingekuwa vzr sanaMkangafu wa hatari na nimepiga na msapulo na kande!! Karibu sana nipo hapa Ipogolo kwa Mwagongo!!