Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #101
Jana tulikuwa kwenye mazishi ya Mama Fungabreki wa Mlandege Karibu na chuo cha VETA na Bwana Hamisi Idi Malinga ambaye alikuwa ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Babati. Maziko ya Bwana Malinga yalifanyika kwa tahadhari sana.
Hamisi Iddi Malinga enzi za Uhai wake.
Hamisi Iddi Malinga enzi za Uhai wake.