Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Hivi ile walioteka kanisa ndio hii unayozungumzia au...huko ishu ya Uchaguzi haijakaa sawa na Putin anajaribu kuizima ingawaje ulinzi hana kwa raia wake yupo busy na vita...Sio mara ya kwanza kutokea. Mwaka 2002 wachechen waliwahi teka theatre iliyojaa watu hapo hapo Moscow Watu wengi walikufa.
Hii ilikuwa ya kwenye theatre, wanakofanyia maonesho yao nafikiri pamoja na mambo ya opera na music concerts.Hivi ile walioteka kanisa ndio hii unayozungumzia au...huko ishu ya Uchaguzi haijakaa sawa na Putin anajaribu kuizima ingawaje ulinzi hana kwa raia wake yupo busy na vita...
ISIL1. Hamas
Freedom fighters wa Palestine, hawa wanadili na Israel iliyo vamia makazi yao. Hadi kwenye vikao vya UN wanatambulika.
2. Al Shabaab
Hawa wapo kisiasa wanataka madaraka, walianza kushabulia Kenya baada ya kenya kuingilia yasiyowahusu.
3. ADF in kundi kama M23
4. Boko Haram.
kwanza wapo Nigeria ya kaskazini ambapo kuna waislam wengi.
Hawa wanashambulia misikiti na kuuwa waislam, wanateka wasichana wakiislamu mamia kwa mamia na kuwaka na kuwauwa.
Wana shambuli maeneo yenye mIkusanyiko huko North Nigeria na kuuwa waislamu..
5.ISIS.
Hawa ndiyo washenzi kabisa, popote utakapowasikia ujie kuna mali.
Waliwahi kufika hadi Msumbiji kwenye maeneo ambayo kunatarajiwa kuchimba mafuta.
Hawa utasikia wakijinadi kwa kuhusika na milipuko moaikini huko iraq.
Hawa wana maliza waislam huko Syria.
Hakuna Muislamu Gaidi, hata wewe naamini hivyo pia.
Wanasema shahada za,1. Hamas
Freedom fighters wa Palestine, hawa wanadili na Israel iliyo vamia makazi yao. Hadi kwenye vikao vya UN wanatambulika.
2. Al Shabaab
Hawa wapo kisiasa wanataka madaraka, walianza kushabulia Kenya baada ya kenya kuingilia yasiyowahusu.
3. ADF in kundi kama M23
4. Boko Haram.
kwanza wapo Nigeria ya kaskazini ambapo kuna waislam wengi.
Hawa wanashambulia misikiti na kuuwa waislam, wanateka wasichana wakiislamu mamia kwa mamia na kuwaka na kuwauwa.
Wana shambuli maeneo yenye mIkusanyiko huko North Nigeria na kuuwa waislamu..
5.ISIS.
Hawa ndiyo washenzi kabisa, popote utakapowasikia ujie kuna mali.
Waliwahi kufika hadi Msumbiji kwenye maeneo ambayo kunatarajiwa kuchimba mafuta.
Hawa utasikia wakijinadi kwa kuhusika na milipuko moaikini huko iraq.
Hawa wana maliza waislam huko Syria.
Hakuna Muislamu Gaidi, hata wewe naamini hivyo pia.
Not logical...Wanasema shahada za,
Wanaswali sala tano,
Wanaua kwa jina la Allah,
Ni waislamu.
Kuutetea uislam inhitaji uondoe.mshipa wa aibu..