Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Bro hakuna aliyelalamika zaidi nimetoa taarifa tu wadau wakae wakijua hilo linakuja. Nilipie compact nishindwe buku 4 itakuwa ni uchuroTafuta pesa Mkuu, buku nne kwa mwezi sio kitu cha kulialia.... unatuangusha matajiri wa DsTV.
Connection haitolewi hadharani hivi kama mchele wa virutubishoLeta connection basi
Nianze kukusanya hela nifunge AzamKuna ujumbe nimeuona huku kupitia DStv, kifurushi cha Compact kitapanda na kuwa tshs 64,000/= kwa mwezi kutoka tshs 60,000.
Sijajua kww upande wa vifurushi vingine. Tumeipenda wenyewe, wacha tuisome namba eeeehhh….View attachment 2948257
Nimependa "mchele wa virutubisho"Connection haitolewi hadharani hivi kama mchele wa virutubisho
haina shida tuko naoKuna ujumbe nimeuona huku kupitia DStv, kifurushi cha Compact kitapanda na kuwa tshs 64,000/= kwa mwezi kutoka tshs 60,000.
Sijajua kww upande wa vifurushi vingine. Tumeipenda wenyewe, wacha tuisome namba eeeehhh….View attachment 2948257
Kama ni mpenzi wa dstv ukifunga azam yaani kesho tu asubuhi lazma umuite fundi aje abadili uelekeo urudi dstvNianze kukusanya hela nifunge Azam
Unatazama EPL huko Netflix?Toka nimeanza kulipia vifurushi vya Netflix na vya router yangu ya Airtel sijawahi kulipia DSTV Tena
Na NBC ndo inawapa jeuri hawa kenge wa Azam. Vinginevyo ni kingamuz cha hovyo tuEpl ndiyo inayowapa jeuri hao kenge
Kodi imepandishwa ndio maana yakeKuna ujumbe nimeuona huku kupitia DStv, kifurushi cha Compact kitapanda na kuwa tshs 64,000/= kwa mwezi kutoka tshs 60,000.
Sijajua kww upande wa vifurushi vingine. Tumeipenda wenyewe, wacha tuisome namba eeeehhh….View attachment 2948257
EPL natumia website za online na sijawahi kukosa hata game MojaUnatazama EPL huko Netflix?
Nampongeza mama samia kwa hiliKodi imepandishwa ndio maana yake