BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Moja ya vitu ninavyojitahidi kuviepuka maishani mwangu ni kuwa mraibu wa chochote.Kama ni mpenzi wa dstv ukifunga azam yaani kesho tu asubuhi lazma umuite fundi aje abadili uelekeo urudi dstv
Hii ni kamba tuMoja ya vitu ninavyojitahidi kuviepuka maishani mwangu ni kuwa mraibu wa chochote.
Kwa mwezi unatumia kiasi gani kwa hiyo routerEPL natumia website za online na sijawahi kukosa hata game Moja
Nimependa "mchele wa virutubisho"
Way forward tunafanyaje kupata?..
70 tu kakaKwa mwezi unatumia kiasi gani kwa hiyo router
Hem sema gharama za router kwa mwezi mzima mkuu.EPL natumia website za online na sijawahi kukosa hata game Moja
Kashasema 70kHem sema gharama za router kwa mwezi mzima mkuu.
70 kakaHem sema gharama za router kwa mwezi mzima mkuu.
Lakini hawa wachuru wanaongeza buku 4 kila mwaka ni hela nyingi sana hicho cha 64 kilikua 48 or around thatBro hakuna aliyelalamika zaidi nimetoa taarifa tu wadau wakae wakijua hilo linakuja. Nilipie compact nishindwe buku 4 itakuwa ni uchuro
Neflix huwezi ona EPL na Champion league europeToka nimeanza kulipia vifurushi vya Netflix na vya router yangu ya Airtel sijawahi kulipia DSTV Tena
Usimjibu mtu kwa kukurupuka ndugu pitia maoni ya juu nilishazungumzia vizuri sawaNeflix huwezi ona EPL na Champion league europe
44kLakini hawa wachuru wanaongeza buku 4 kila mwaka ni hela nyingi sana hicho cha 64 kilikua 48 or around that