Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe ni kutukomoa ndo maana wamepandisha vifurushiAu ndio amesimamia hapaView attachment 1742042
Kuna ule mfumo wa kutengeneza tatizo alafu unalitatua wewe mwenyewe ili uonekane mtetezi wa wanyonge. Hiki ndio kinacho tokea hapa.VIFURUSHI; Ahsante Rais Samia kwa Kusikia Kilio Chetu
View attachment 1742018
Nani kama Mama? Hakuna. Hakika hakuna kama mama.
Kilio chetu cha kutwa moja tu kimemfanya mama atoe maagizo fasta kwa TCRA kushughulikia kupanda kwa gharama za vifurushi.
Awali, changamoto kama hizo zilikua zikishughulikiwa baada ya kututafuna kwa wiki au miezi kadhaa.
Katika utumishi wako adhimu, Rais wetu Mh. Samia hakika umeweza kututatulia changamoto hii ndani ya masaa kadhaa tu hata siku (masaa 24) haijafika.
Tunakupenda sana Rais wetu. Endelea na spidi hiyohiyo. Mungu yu pamoja nawe anakuongoza.
NaniKamaMama
Moja ya sababu ya bando kupanda ni serikali kuhitaji mapato zaidi kutoka mashirika ya simu.Tunasubiri
Mkuu tupunguze ukali wa maneno wameshika mpini, taratibu tuu na sisi sio wajinga.Enyi wagalatia msio na akili upumbavu mtaacha lini?
Naye ni rais ,we uliwahi kufikiri kwamba kuna siku mh samia suluhu atakuwa rais?Huyu mzee naona naye amekuwa msemaji mkuu wa serikali
Unatengeneza tatizo, unalisolve, unasifiwa.VIFURUSHI; Ahsante Rais Samia kwa Kusikia Kilio Chetu
View attachment 1742018
Nani kama Mama? Hakuna. Hakika hakuna kama mama.
Kilio chetu cha kutwa moja tu kimemfanya mama atoe maagizo fasta kwa TCRA kushughulikia kupanda kwa gharama za vifurushi.
Awali, changamoto kama hizo zilikua zikishughulikiwa baada ya kututafuna kwa wiki au miezi kadhaa.
Katika utumishi wako adhimu, Rais wetu Mh. Samia hakika umeweza kututatulia changamoto hii ndani ya masaa kadhaa tu hata siku (masaa 24) haijafika.
Tunakupenda sana Rais wetu. Endelea na spidi hiyohiyo. Mungu yu pamoja nawe anakuongoza.
NaniKamaMama
Kumbe walifanya makusudi kukomoa. Awamu ya sita bado ana mentality za ki Jiwe Jiwe tu za kujimwambafy. Mama hii kenge ni ya kutumbua isikuharibie image ya Serikali unayo iongoza.Au ndio amesimamia hapaView attachment 1742042
Tunashukuru tu licha ya kutuchezea hawa watuKuna ule mfumo wa kutengeneza tatizo alafu unalitatua wewe mwenyewe ili uonekane mtetezi wa wanyonge. Hiki ndio kinacho tokea hapa.
Wewe unamwambia rais asante je unadhani waziri anaweza kufanya kitu bila rais kujua? Yani unataka kutuaminisha kwamba mpaka wanatangaza rais alikua hajui?
Sasa kwann unamwambia asante wakati yeye ndiye aliye tengeneza tatizo?
Big up to Her Excellency Mrs President Samia Suluhu Hassan for her prompt action. I agree with her motto, " ZEGE HALILALI" .VIFURUSHI; Ahsante Rais Samia kwa Kusikia Kilio Chetu
View attachment 1742018
Nani kama Mama? Hakuna. Hakika hakuna kama mama.
Kilio chetu cha kutwa moja tu kimemfanya mama atoe maagizo fasta kwa TCRA kushughulikia kupanda kwa gharama za vifurushi.
Awali, changamoto kama hizo zilikua zikishughulikiwa baada ya kututafuna kwa wiki au miezi kadhaa.
Katika utumishi wako adhimu, Rais wetu Mh. Samia hakika umeweza kututatulia changamoto hii ndani ya masaa kadhaa tu hata siku (masaa 24) haijafika.
Tunakupenda sana Rais wetu. Endelea na spidi hiyohiyo. Mungu yu pamoja nawe anakuongoza.
NaniKamaMama
Exactly kabisa mkuu.Big up to Her Excellency Mrs President Samia Suluhu Hassan for her prompt action. I agree with her motto, " ZEGE HALILALI" .
Kwa style hii ya mama tunaanza kuona mwanga mbele....!
Ushauri wangu kwa Mhe. Bi. Rais, she must move a step further. TCRA LAZIMA IMULIKWE kama alivofanya kwa TPA hasa kwa Ofisi ya DG wa TCRA......!!! Watz tumeibiwa sana kwenye mitandao both Voice and Data.
Atuondolee vimelea vyote vilivoachwa na Hayati Jiwe. Kuna ma DG waliteuliwe kirafiki, kikabila na kindugu kiasi kwamba hizo taasisi za Serikali ni kama mali zao! They can do anything and nobody questions. It's a high time now to question them why this or that!!! 5 years is quite enough for them to step down....😎😎Exactly kabisa mkuu.
4Mama anacho fanya ni hatari
Kabisa mkuuAtuondolee vimelea vyote vilivoachwa na Hayati Jiwe. Kuna ma DG wakiteuliwe kirafiki, kikabila na kindugu kiasi kwamba hizo taasisu za Serikali ni Kama zao! They can do anything and nobody questions. It's now the time to question them why thiils or that!!! 5 years is quite enough for them to step down....😎😎