Vifurushi vya Intaneti: Asante Rais Samia kwa Kusikia Kilio Chetu

Vifurushi vya Intaneti: Asante Rais Samia kwa Kusikia Kilio Chetu

VIFURUSHI; Ahsante Rais Samia kwa Kusikia Kilio Chetu
View attachment 1742018
Nani kama Mama? Hakuna. Hakika hakuna kama mama.

Kilio chetu cha kutwa moja tu kimemfanya mama atoe maagizo fasta kwa TCRA kushughulikia kupanda kwa gharama za vifurushi.

Awali, changamoto kama hizo zilikua zikishughulikiwa baada ya kututafuna kwa wiki au miezi kadhaa.

Katika utumishi wako adhimu, Rais wetu Mh. Samia hakika umeweza kututatulia changamoto hii ndani ya masaa kadhaa tu hata siku (masaa 24) haijafika.

Tunakupenda sana Rais wetu. Endelea na spidi hiyohiyo. Mungu yu pamoja nawe anakuongoza.

NaniKamaMama
Kuna ule mfumo wa kutengeneza tatizo alafu unalitatua wewe mwenyewe ili uonekane mtetezi wa wanyonge. Hiki ndio kinacho tokea hapa.

Wewe unamwambia rais asante je unadhani waziri anaweza kufanya kitu bila rais kujua? Yani unataka kutuaminisha kwamba mpaka wanatangaza rais alikua hajui?

Sasa kwann unamwambia asante wakati yeye ndiye aliye tengeneza tatizo?
 
VIFURUSHI; Ahsante Rais Samia kwa Kusikia Kilio Chetu
View attachment 1742018
Nani kama Mama? Hakuna. Hakika hakuna kama mama.

Kilio chetu cha kutwa moja tu kimemfanya mama atoe maagizo fasta kwa TCRA kushughulikia kupanda kwa gharama za vifurushi.

Awali, changamoto kama hizo zilikua zikishughulikiwa baada ya kututafuna kwa wiki au miezi kadhaa.

Katika utumishi wako adhimu, Rais wetu Mh. Samia hakika umeweza kututatulia changamoto hii ndani ya masaa kadhaa tu hata siku (masaa 24) haijafika.

Tunakupenda sana Rais wetu. Endelea na spidi hiyohiyo. Mungu yu pamoja nawe anakuongoza.

NaniKamaMama
Unatengeneza tatizo, unalisolve, unasifiwa.

Sasa hivi habari ni SERIKALI YASIKIA KILIO CHA WANYONGE
 
Kumbe walifanya makusudi kukomoa. Awamu ya sita bado ana mentality za ki Jiwe Jiwe tu za kujimwambafy. Mama hii kenge ni ya kutumbua isikuharibie image ya Serikali unayo iongoza.
hahahahah ngoja tuone kama itapigwa za pua
 
Kuna ule mfumo wa kutengeneza tatizo alafu unalitatua wewe mwenyewe ili uonekane mtetezi wa wanyonge. Hiki ndio kinacho tokea hapa.

Wewe unamwambia rais asante je unadhani waziri anaweza kufanya kitu bila rais kujua? Yani unataka kutuaminisha kwamba mpaka wanatangaza rais alikua hajui?

Sasa kwann unamwambia asante wakati yeye ndiye aliye tengeneza tatizo?
Tunashukuru tu licha ya kutuchezea hawa watu
 
VIFURUSHI; Ahsante Rais Samia kwa Kusikia Kilio Chetu
View attachment 1742018
Nani kama Mama? Hakuna. Hakika hakuna kama mama.

Kilio chetu cha kutwa moja tu kimemfanya mama atoe maagizo fasta kwa TCRA kushughulikia kupanda kwa gharama za vifurushi.

Awali, changamoto kama hizo zilikua zikishughulikiwa baada ya kututafuna kwa wiki au miezi kadhaa.

Katika utumishi wako adhimu, Rais wetu Mh. Samia hakika umeweza kututatulia changamoto hii ndani ya masaa kadhaa tu hata siku (masaa 24) haijafika.

Tunakupenda sana Rais wetu. Endelea na spidi hiyohiyo. Mungu yu pamoja nawe anakuongoza.

NaniKamaMama
Big up to Her Excellency Mrs President Samia Suluhu Hassan for her prompt action. I agree with her motto, " ZEGE HALILALI" .
Kwa style hii ya mama tunaanza kuona mwanga mbele....!
Ushauri wangu kwa Mhe. Bi. Rais, she must move a step further. TCRA LAZIMA IMULIKWE kama alivofanya kwa TPA hasa kwa Ofisi ya DG wa TCRA......!!! Watz tumeibiwa sana kwenye mitandao both Voice and Data.
 
Big up to Her Excellency Mrs President Samia Suluhu Hassan for her prompt action. I agree with her motto, " ZEGE HALILALI" .
Kwa style hii ya mama tunaanza kuona mwanga mbele....!
Ushauri wangu kwa Mhe. Bi. Rais, she must move a step further. TCRA LAZIMA IMULIKWE kama alivofanya kwa TPA hasa kwa Ofisi ya DG wa TCRA......!!! Watz tumeibiwa sana kwenye mitandao both Voice and Data.
Exactly kabisa mkuu.
Mama anacho fanya ni hatari
 
Exactly kabisa mkuu.
4Mama anacho fanya ni hatari
Atuondolee vimelea vyote vilivoachwa na Hayati Jiwe. Kuna ma DG waliteuliwe kirafiki, kikabila na kindugu kiasi kwamba hizo taasisi za Serikali ni kama mali zao! They can do anything and nobody questions. It's a high time now to question them why this or that!!! 5 years is quite enough for them to step down....😎😎
 
Atuondolee vimelea vyote vilivoachwa na Hayati Jiwe. Kuna ma DG wakiteuliwe kirafiki, kikabila na kindugu kiasi kwamba hizo taasisu za Serikali ni Kama zao! They can do anything and nobody questions. It's now the time to question them why thiils or that!!! 5 years is quite enough for them to step down....😎😎
Kabisa mkuu
 
Back
Top Bottom