Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Hawezi kuwa na akaunti ya namna hiyo.Hiyo ni yake mkuu
Huoni uandishi mbovu kabisa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kuwa na akaunti ya namna hiyo.Hiyo ni yake mkuu
Katika mashirika ambayo Rais Sameer anatakiwa ayamulike TTCL ni mojawapo!!Ttcl wamerudisha sema mtandao wao uko down sana ila bora
Basi kazi kwelikweli!ma operator wake Ndo wabovu
Kweli TTCL mtandao wa kutafutana
kwa kweli hawa kwenye issue ya speed generation wapo ovyo
Walio weka madarakani na jiwe wanakaziTTCL bado kabisa pamoja na kuaminiwa na Serikali kuendesha Mkongo wa Taifa( National ICT Fiber).
Tatizo ni DG aliyeko pale ambaye ni Mwanasiasa tu aliye pachikwa na Jiwe na hajui lolote kuhusu Teknolojia ya Mawasiliano!!! Ndo maana ubabaishaji ni mkubwa sana TTCL!!! Ili kuinusuru TTCL huyu DG inabidi apumzishwe tu hakuna namna!
They've to follow suit to Eng. Kakoko a.k.a. Kigogo wa TPA...!!!!Walio weka madarakani na jiwe wanakazi
Hahahahaahahahhahahahaahahahhahaahahhahahahahahaahahahahhahahaahhahahaahahaahhahahahahaahhahaahahhahahhhaahhaahahhahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaahahahahhahahahaahhahahahahahhahahahahahahahhahahahahahahhahahahahahhahahhahafalaweehahahahahhaahhahahahahahaahahhahahaha exactlyThey've to follow suit to Eng. Kakoko a.k.a. Kigogo wa TPA...!!!!
Big up to Her Excellency Mrs President Samia Suluhu Hassan for her prompt action. I agree with her motto, " ZEGE HALILALI" .
Kwa style hii ya mama tunaanza kuona mwanga mbele....!
Ushauri wangu kwa Mhe. Bi. Rais, she must move a step further. TCRA LAZIMA IMULIKWE kama alivofanya kwa TPA hasa kwa Ofisi ya DG wa TCRA......!!! Watz tumeibiwa sana kwenye mitandao both Voice and Data.