Nashinda youtu.be mda mwingi na haikatiki kwa mawazo yako youtube ukiingia kila siku kwa masaa zaudi ya ma4 hiyo siyo unlimitedJIBU NI HAPANA UO JAMAA ANAPOTOSHA AKITAKA KUONA KUA SIO UNLIMITE AJARIBU KUINGIA TORRENT KU DOWNLOAD MIZIGO
ILA KWENYE HALOPESA WANA KIFURUSHI CHAO CHA MWEZI WANAKUPA GB15 KWA 10K TU
Ni unlimited nakitumia muda mrefu (nipo mwezi wa tatu Sasa), sema speed ni around 60KBps ukimaliza GB zako, ambayo ni Kama 0.5mbps.
Kwa matumizi ya simu kuingia FB, YouTube, WhatsApp, kubrowse JF kinafaa.
Au Kama unatumia kudownload tafuta computer isio na kazi muda wote maana hizo movies na magame vinachukua masaa Kama sio siku kadhaa, kwa masaa 24 unaweza shusha movie Kama 3 za HD.
Au Kama una simu unastream tumia website zenye movie za low quality Kama 240p.
Hapana YouTube ni 240p, sema Kama una browser ya kisasa ukiangalia video za chanell maarufu utaona kwa 360p. Kwa HD utahitaji angalau 2Mbps.
Hivi unlimited huwa inamaanisha nini kwenye vifurushi?
Data au speed?
Huu upuuzi wa kuambiwa ulimited wiki kumbe wamekulimit speed
Movie ya 1Gb unadownload siku 3
Mkuu angalia na Bei pia ya halotel ni 10,000 tu kwa hio speed sio mbaya Tena unapata na dakika 200 Kama sijakosea.
Kama upo eneo katikati ya mji mpaka kinondoni cheki zuku, Go fiber, Raha etc wote Wana Broadband kuanzia 10mbps kwa 70,000. Speed nzuri tu unastream full HD.
Na Kama unajiweza kwa around 250K unapata 50mbps ambayo unastream Hadi Netflix Ultra HD na 4K YouTube.
Kama vyuma vimebana Tafuta Raha spot yoyote unapata Internet buree Tena speed ya kutosha.
Hata mimi nataka kujua hii net ya free aiseeHiyo Raha spot ni gani? Na unapataje free net chief?
Aaaahh kumbe!!Ni sehemu inaweza kuwa ni hotel au mgahawa hivi kunakuwa na internet ya bure, ukiwa ndani ya eneo unatumia.
Kuna apps za wifi maps zipo store download nyingi zinaonesha location za hizo spot, ila migahawa maarufu mingi wanaweka Raha spot, utakuta kibango nje wanaandika.Aaaahh kumbe!!
Chrome ama Firefox version mpya za karibuni, na Kama ni Firefox better download night build kisha type kwenye address bar pale neno about:config Halafu search neno AV1 Halafu sitakuja result mbili zote eka true.Hiyo browser ya kisasa ni ipi?? Itaje tuitafute
Mkuu ni balaaHii ndo Tanzania mkuu hawataki nasi tuwe huru wala tuenjoy internet yenye kasi hawataki kuona tuko kama nchi zingine zinazoenjoy sjui tz tumerongwa na nani kila kitu hovyooo. [emoji32][emoji32]
Nimejaribu kwa chrome desktop version inagomaChrome ama Firefox version mpya za karibuni, na Kama ni Firefox better download night build kisha type kwenye address bar pale neno about:config Halafu search neno AV1 Halafu sitakuja result mbili zote eka true.
Kwa chrome huna haja kufanya hivyo.
Then set chrome yako ama Firefox yako kwenye desktop mode kisha tembelea hii URL
Ni lazima uwe kwenye desktop mode maana haifunguki kwenye version ya simu.
Then chini set always prefer AV1
Ukimaliza Hapo unapoplay video YouTube click zile dots tatu chagua playback setting kisha chagua 360p,
AV1 ni codecs mpya zinazokuwezesha kuplay quality kubwa kwa speed Ndogo ya internet.
Inagoma nini?Nimejaribu kwa chrome desktop version inagoma
Ina maana kwa app ya YouTube haitokubali sio?Chrome ama Firefox version mpya za karibuni, na Kama ni Firefox better download night build kisha type kwenye address bar pale neno about:config Halafu search neno AV1 Halafu sitakuja result mbili zote eka true.
Kwa chrome huna haja kufanya hivyo.
Then set chrome yako ama Firefox yako kwenye desktop mode kisha tembelea hii URL
Ni lazima uwe kwenye desktop mode maana haifunguki kwenye version ya simu.
Then chini set always prefer AV1
Ukimaliza Hapo unapoplay video YouTube click zile dots tatu chagua playback setting kisha chagua 360p,
AV1 ni codecs mpya zinazokuwezesha kuplay quality kubwa kwa speed Ndogo ya internet.
Nimejaribu YouTube Go 360p haikubali.Ina maana kwa app ya YouTube haitokubali sio?
Je ukichagua desktop version kwenye simu inakubali?
Poa poaNimejaribu YouTube Go 360p haikubali.
Ndio browser za simu Zina option kudisplay desktop version, sema ukimaliza kuset Rudi mobile version.
Mkuu situmii huu mtandao ila una FUP(fair usage policy)