Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Mkuu hiki kifurushi nilifanikiwa kupata laini ya community na nikaanza kujiunga na kuendelea kula maisha lakini sasa naona siku hizi wamenifutia zile mb 2521 kila nikijiunga napewa mb 985 sijui shida nini au kuna masharti nilikiuka?
Halotel wameondoa bonus kwenye vifurushi vya intaneti kwa laini zote.

Wanafuata maagizo kutoka juu, kwa rate mpya ya 245MB kwa 500/=. Rate hii huperuzi chochote cha kueleweka.

Mwaka huu wananchi kima cha chini watachakaa. Ni mwendo wa kuminywa hadi mavi yatoke.
 
Halotel wameondoa bonus kwenye vifurushi vya intaneti kwa laini zote.

Wanafuata maagizo kutoka juu, kwa rate mpya ya 245MB kwa 500/=. Rate hii huperuzi chochote cha kueleweka.

Mwaka huu wananchi kima cha chini watachakaa. Ni mwendo wa kuminywa hadi mavi yatoke.
Kwahiyo hata sisi wa simu wanataka tununue router
 
Halotel wameondoa bonus kwenye vifurushi vya intaneti kwa laini zote.

Wanafuata maagizo kutoka juu, kwa rate mpya ya 245MB kwa 500/=. Rate hii huperuzi chochote cha kueleweka.

Mwaka huu wananchi kima cha chini watachakaa. Ni mwendo wa kuminywa hadi mavi yatoke.
Kwahiyo mkuu hakuna mtandao mwingine wenye unafuu angalau
 
Kwahiyo hata sisi wa simu wanataka tununue router
Ndiyo maana yake.

Sisi wa vifurushi vya 2,000/= kwa wiki, kwa sasa hali siyo rafiki kwetu. Tunafosiwa kununua router. Siyo kila mtu anaweza kununua router kutokana na hali halisi ya Tanzania.

Warekebishe rates za data walau iwe 300MB kwa 500/=.
 
mambo ni fireeee bado naona internet zinazidi kushuka bei tu....mimi natumia hawa net solution fiber unlimited.....bei ilikuwa 70k 20mbps now nimetumiwa email imekuwa 20mbps 50k ....jamani endeleni kushindana izidi kushuka mpaka unlimited tununue kwa 20k,,
Hawa wanapatikana wapi mkuu
 
Habari za kazi wakuu, samahani ivi utaratibu wa kupata modem ya 5G ya airtel saivi upoje? last time ilikuwa kuna kupewa bure ila kifurushi cha bei ya chini kinakuwa ni 110k na pia kukawa na kununua kwa 270k ila kifurushi cha bei ya chini inakuwa 70k na sikuwai kuelewa kwanini kuna mikataba ya aina mbili kama ivi. Msaada pls wa kueleweshwa
 
Wakuu Nahitaji laini zile za mwanzoni za halotel zenye vifurushi vya miezi 3, 6 na 12 mweny connection nayo tuwasiliane 0618370992
 
Back
Top Bottom