Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Nime Soma uzi, naona ipoHizi ndio zile za Unlimited 50K?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nime Soma uzi, naona ipoHizi ndio zile za Unlimited 50K?
Nimeona shemeji, Asante kwa kuniita.Shemela binti kiziwi mchongo huo
Ndio mkuu, picha ya mchanganuo ipo piaHizi ndio zile za Unlimited 50K?
Mtandao upi?Ndio mkuu, picha ya mchanganuo ipo pia
Kwa router za laki 6 hata wakitoa miezi 6 bure still haina value, bei za router wapunguze kwanza.
I think walipunguza, bei yake ni 250k naona ni bei nzuri kwa Router hii.Kwa router za laki 6 hata wakitoa miezi 6 bure still haina value, bei za router wapunguze kwanza.
Hizi router kubwa? Sio vile vi mifi?I think walipunguza, bei yake ni 250k naona ni bei nzuri kwa Router hii.
Mifi zao ni either 75k au 170k. Lakini hii router ya ZTE wanauza 250kHizi router kubwa? Sio vile vi mifi?
sioni 70k hapo wamekitoa?Mifi zao ni either 75k au 170k. Lakini hii router ya ZTE wanauza 250k
Kama unaongelea kifurushi. Hakipo 70k 25mbps ipo kwenye fiber tusioni 70k hapo wamekitoa?
Walikua nacho pia 5G 70K unapata 10mbps.Kama unaongelea kifurushi. Hakipo 70k 25mbps ipo kwenye fiber tu
mimi hata sijaelewa ofa za hii pocket Wi-FiKwa ambao tayari wametumia hii bidhaa ya Vodacom naomba mtupe mrejesho.
View attachment 3252627
Ila kama ni Vodacom partners isije kuwa tu ndo wale wale Wa Shule na Hospital.
Si Bora za AirTel tu mkuu
Hii Ina unlimited auKwa ambao tayari wametumia hii bidhaa ya Vodacom naomba mtupe mrejesho.
View attachment 3252627
Wanapatikana wapiView attachment 3227308
Yaani Hawa savanna wanakuja kuuwa market kabisa. Hata ttcl mwenyewe yupo nyuma 😅
Mkuu hiki kifurushi nilifanikiwa kupata laini ya community na nikaanza kujiunga na kuendelea kula maisha lakini sasa naona siku hizi wamenifutia zile mb 2521 kila nikijiunga napewa mb 985 sijui shida nini au kuna masharti nilikiuka?Hapo unakua umepigwa 😂 kwa hiyo hiyo 5k unapata 7.8GB wiki 2 kuna lain za Halotel zinaitwa community
2k 3GB wiki
5k 7.8GB wiki 2
10k 15.2GB Mwezi
kwahyo ukitoa 5K jamaa anakutumia 5GB anabak na 2.8GB na hela yake inakua imerud sa kwa nn na ww usisajili hiyo line(Halotel community )uwe independent usi depend kwake hizo lain zipo mtaani tu