Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

tigo napata dakika 250 all net

Gb 1.3

sms 100

kwa buku 2 wiki nzima

sijawaza kuhama kabisa hapa maana matumizi ya elfu 8 kwa mwezi ni bomba sana!
 
Halotel wanalaini zao wanaziita tanzanite mi nimezipenda sana kwa mwezi elfu 20 unapewa gb50,dakika 200 mitandao yote kila siku,na sms 500 kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…