siyo lazima uwe Na vocha za chuo kupata vifurushi vya chuo hata line ya Kawaida unapata
Hajakosea hiyo ya mia5 ni kwa menu ya *149*81# na inakaa siku moja na hutumika na vocha ya kawaida,ila hiyo ya 600 ni kwa vocha za uni255 tu na inakaa siku 3.
Nimejiunga imekubal, nitakua nakupa dakika,, hiyo 400 itakua inafanya kazi ya kulipia deni, 1 gb na dk 15... safi kabisa
hii sio mkopo kweli hii [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
hii comment nadhani ina mwaka au miaka miwili, sikumbuki chochoteNtanfao gani boss umeungaje
Hiyo imekaeje mkuu, ukiweka elf6 unatumia kwa mwezi bila kikomo, kwa mitandao yote au mtandao husika?Mimi binafsi kwenye upande wa DATA natumia app inaitwa "YOUR-FREEDOM VPN" app hii inakuwezesha kujiunga na vifurushi vya internet bila kikomo yaan UNLIMITED INTERNET ACCESS..
1 MONTH- 6000
3 MONTHS-10,000
Hii app bado inafanya kazi? Niliitumia mwanzoni mwa mwaka jana nikailipia 15k kwa ajili ya miezi sita. Ila simu ilikua inakua nzito, inachemka sana afu internet connection inakata kata.Mimi binafsi kwenye upande wa DATA natumia app inaitwa "YOUR-FREEDOM VPN" app hii inakuwezesha kujiunga na vifurushi vya internet bila kikomo yaan UNLIMITED INTERNET ACCESS..
1 MONTH- 6000
3 MONTHS-10,000
Nilienda ofisi kwao kuulizia line za Tanzanite,wakaniambia hiyo offer ni kwa dodoma tu!Kuna line special zinauzwa Tsh 5,000, ukijiunga na kifurushi jumla inakuwa Tsh 25,000. Line zinaitwa Tanzanite.
Tupe maujanja mzeeMimi binafsi kwenye upande wa DATA natumia app inaitwa "YOUR-FREEDOM VPN" app hii inakuwezesha kujiunga na vifurushi vya internet bila kikomo yaan UNLIMITED INTERNET ACCESS..
1 MONTH- 6000
3 MONTHS-10,000
Nimekupata mkuuTanzanite inachimbwa tanzania lakini ukienda India unaikuta sokoni kila duka.
Kikubwa connection tu mjomba. Mjini hakuna kinachoshindikana
*148*05# Zantel uni offerHivi siku hizi bado kuna vifurushi vya chuo mtandao wowote ?
Naimba details zaid na picha ya hii app plzMimi binafsi kwenye upande wa DATA natumia app inaitwa "YOUR-FREEDOM VPN" app hii inakuwezesha kujiunga na vifurushi vya internet bila kikomo yaan UNLIMITED INTERNET ACCESS..
1 MONTH- 6000
3 MONTHS-10,000
Elfu 10 gb 10 kwa wiki1,inaisha kwa siku 1 tu!Kwa yeyote aliyewahi kutumia JIMWAGE DATA ya vodacom, naomba review kuhusu speed yake!
hii hifanyi kaz now kwa mtandao wa vodacom, airtel,halotel..kwa mbalii tigoo san ,na TTCL ndio iko fresh kwa sasaMimi binafsi kwenye upande wa DATA natumia app inaitwa "YOUR-FREEDOM VPN" app hii inakuwezesha kujiunga na vifurushi vya internet bila kikomo yaan UNLIMITED INTERNET ACCESS..
1 MONTH- 6000
3 MONTHS-10,000
[emoji106]Halotel ukidownload App ya Halopesa na uka activate na namba yako ya simu unapata Gb moja bure.
TTCL Instagram,watsaap na facebook free ukiwa na bando yeyote active
Halotel kama hawatabadilika huko mbeleni kwa kifupi internet yao iko vizuri