Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Nimepitia majibu ya waliojaribu wanasema ngoma inakatia kwenye 4.5GB
Nadhani watakuwa wamesitisha rasmi japo hawajaupdate upande wa halopesa.
Shukrani sana kwa msaada
 
Halafu tarehe 2 april kutakuwa na mabadiliko ya vifurushi ebu tuone kama ni affordable au undava
 
Yeah wakuu kwa niaba,
Ile ofa ya GB za tigo imerudi kama ifuatavyo:
30GB kwa Mwaka Tshs. 8,000/=
84GB kwa Mwaka Tshs. 25,000/=
100GB kwa Mwaka Tshs.80,000/=
Cc: Chief-Mkwawa Mwl.RCT
Hapa so kwamba tunapigwa kweli !?? kuweni makini hizo elfu 8,000, 25,000, 80,000/ ni parefu tuwe makini na biashara mbovu kama hizi ambazo hazina ukweli ndani yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…