Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

KWA WENYE HALOTEL TU INAWAHUSU.

HALOTEL WAMEKUJA NA OFA HIII UNAPAKUA TU APP YAO YA [HALOPESA] PLAYSTORE NA UJISAJILII KWA NAMBA YAKO YA HALOTEL KAMA HUNA HALOTEL HIII HAIKUHUSU ILA WENYE HALOTEL UKISHAMALIZA KUJISAJILI TU APP HALOPESA UNAPATA GB 2 ZAKO SAFI KABISA .
 
Mbona nimepakua sijapata leo.
Umepakua halopesa app , umejisajili ? Jisajili kwanza ,
Fungua app
Anza kuweka namba yako ya simu
Utatumia otp weka.
Baada ya hapo weka namba ya siri ya halopesa .
Utapewa ndani ya dakika 1.
 
Utapeli Utapeli , Ukikutana Na Huyu Jamaa Usifanye Nae Biashara Atakuingiza Mjini Kama Alivyoniingiza Mimi Mjini.

Ni tapeli anajifanya anaunga vifurushi kumbe hamna .
Namba yake anayoitumia whatssap huwezi kumpigia maana imezuiliwa .

Yeye anachofanya kuna namba anatumia ili umtumie pesa na ukishamtumia pesa kwa hiyo namba anayopokelea pesa hatokujibu tena.

Pia ana ushawishi huwa anakutumia screenshot etii anaunga kumbe hamna kabisa.

huyu jamaa atawaliza wengi ni tapeli, huwa anakwambia tuma pesa kwa namba hii 0674105583 Fatma Masoud, ili akuunge kwenye vifurushi vya aina mbalimbali tena mitandao yote lakini ukituma pesa unakuwa umeliwa .

Mimi na jamaa yangu tulimtumia elfu 24 na amekula wala hajasaidia chochote.


Hivi vifurushi huwa havipo na nahisi ni utapeli tu , nawaombeni tuendelee kukaza kama walivyokaza wenye mitandao yao .

 
Asante kwa taarifa
ila hawa matapeli ni moja ya kujipatia chochote maana wanasema mjini mipango.

Vodacom office zimejaa
Line ya kwako
Menu ya vifurushi unayo!

Unatapeliwaje jaman?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…