Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
-
- #3,741
sijui hilo eneo mkuu, ila fiber zinafika ile kinondoni ya morocco, wacheki zuku.Mkuu mi naomba maelekezo ya Fiber nzuri kwa Town maeneo ya Kinondoni karibu na Ofisi za DSTV
Poa shukrani mkuusijui hilo eneo mkuu, ila fiber zinafika ile kinondoni ya morocco, wacheki zuku.
Unazipata kwa menu gani sasaGB 10 + DK 1000 KWA 20,000
GB 20+DK 1000 KWA 25,000
GB 30+ DK 1000 KWA 30,000
GB 40+ DK 1000 KWA 40,000
GB 60+ DK 1000 KWA 45,000
NB: HIZI DAKIKA NI KWA MITANDAO YOTE BILA SMS
(VODACOM ONLY)
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Kwa muda ganiGB 10 + DK 1000 KWA 20,000
GB 20+DK 1000 KWA 25,000
GB 30+ DK 1000 KWA 30,000
GB 40+ DK 1000 KWA 40,000
GB 60+ DK 1000 KWA 45,000
NB: HIZI DAKIKA NI KWA MITANDAO YOTE BILA SMS
(VODACOM ONLY)
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Wee jamaa mimi bado nakusubiria.Ni mambo ya zile trigger files zinafanya injection mkuu
Yes mkuu, sijakusahau worry outWee jamaa mimi bado nakusubiria.
Itakuwa ni kwa mwezi mzim kama cjakoseaKwa muda gani
Mwezi mzima buku 20 ndefu kinoma kwangu.
Duh hizi bundle yaani internet imekuwa kama anasa vile au madawa ya kulevya bei juu hadi tukome ila hiki ni nafuu kiasi maana kawaida wanauza hizo 2 gb kwa 3k
Kwa mda gani wiki au mwezi je hamana vifurushi vingine vya halotel vyenyw gb nyingi zaidi??
Ni wiki mkuu soma salio hilo vizuriKwa mda gani wiki au mwezi je hamana vifurushi vingine vya halotel vyenyw gb nyingi zaidi??
GB 10 + DK 1000 KWA 20,000
GB 20+DK 1000 KWA 25,000
GB 30+ DK 1000 KWA 30,000
GB 40+ DK 1000 KWA 40,000
GB 60+ DK 1000 KWA 45,000
NB: HIZI DAKIKA NI KWA MITANDAO YOTE BILA SMS
(VODACOM ONLY)
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Mnaharibu laini za wateja... Nimekutana na laini mpya za halotel hazina zile ofa ya halopesaNi wiki mkuu soma salio hilo vizuri
View attachment 2019674
Sasa hii hoja ina mahusiano gani na hili bando mkuu?Mnaharibu laini za wateja... Nimekutana na laini mpya za halotel hazina zile ofa ya halopesa
We mbona kama muongo....masaaa ma 4 nasubir kuungwa.Ukija inbox andika na namba yako ya halotel kurahisisha na kufupisha chats.
unaungwa kisha unatuma hela
gb 2 kwa siku 7. dau 1500View attachment 2020425