Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

Wakuu ambao mko around maeneo ya mikocheni, mni-pm niwape free password ya WiFi ya Regency Hotel. Unaenda unakaa pale chini unazuga na hata maji madogo kumbe unashusha mzigo wa maana ukitoka umetoka na faida. Au nafanya makosa watanzania wenzangu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watanzania sie ndugu
 
Hello Fellas.

Bila shaka mko salama kabisa.

naona leo chaka letu pendwa limefanyiwa figisu na limeangushwa.

kwa mnaopata access jitahidini mmalize Mb/Gb zenu.

kuna wadau humu waliumia sana kuona nime share skyvpn na wakadai ningetumia kimya kimya.😒😒😒shame on you

Na nyie ndo mmesababisha sadaka zimekosa😅😅😅😂😂😂

Narudi kwa Developer uchwara tuwekana sawa nini kinaendelea.

Tupendane jamani watanzania tumekuwa manyang'au. Tunanyimana na kuzibiana riziki hadi za BURE!

ALL IN ALL NIMEFULIA SANA WADAU. Mwenye buku mwenye buku 5 asisite kunitoa juu ya mawe.

siku mbaya sana leo.

nipo watsap 0744033555. unaweza kutoa sadaka kwa Hio namba litakuja jina la Kikurya Pure😃😃😃
 
Issue sio wadau kuumia issue ni nidhamu unapopata chochote even pesa. Miongoni wa watu walioelekezwa huo mchongo walikuwa wanapost shit mpaka kwenye page za tigo wanawatambia, niliwaonea huruma ukizingatia ni illegal kutumia VPN hapa Tanzania tena fb kudakwa ni dakika mbili.
Kiukweli watanzania tujifunze nidhamu hata kidogo.



 
Ni kweli usemalo.

ndio maana Ha tunnel ilibanwa

bado ec tunnel pro
 
Waambieni waambieni💣💣💣
Data zao, zinaliwa✨✨🎊🎊🎊

Tigo labda mfunge line yangu...
tofauti na hapo sina cha kuwahurumia

mmebana sky vpn mkajua mmeniweza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…