Sasa mbn mm inagoma mpk niwashe data?Jamani[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8].thanks a lot aloleta hii kitu.
Nipo nainjoy tu kwa kweli.barikiwa sana.
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7].
I wish nije nikupe sodaView attachment 2169034
Unafanyaje hii?Waambieni waambieni[emoji378][emoji378][emoji378]
Data zao, zinaliwa[emoji92][emoji92][emoji323][emoji323][emoji323]
View attachment 2168911
Tigo labda mfunge line yangu...
tofauti na hapo sina cha kuwahurumia
mmebana sky vpn mkajua mmeniweza
Umefanyaje man?Waambieni waambieni[emoji378][emoji378][emoji378]
Data zao, zinaliwa[emoji92][emoji92][emoji323][emoji323][emoji323]
View attachment 2168911
Tigo labda mfunge line yangu...
tofauti na hapo sina cha kuwahurumia
mmebana sky vpn mkajua mmeniweza
Mkuu hii skyvpn wakishakupa hizo mb zen una switch off your data au unaacha on? Na ukiacha On data zako haziendi? Mana mm pia wamenipa mb kama 200 hv lkn niki switch off my data haifanyi kazi, naomba muongozo wa jinsi ya kutumia hii app.Fanyeni kautafuti basi.. line ipi nyingine itakublai badala ya tigo kwenye SkyVpn
WAHUNI WAMEWAPA TIGO TAARIFA KUWA WANAIBIWA.Mkuu hii skyvpn wakishakupa hizo mb zen una switch off your data au unaacha on? Na ukiacha On data zako haziendi? Mana mm pia wamenipa mb kama 200 hv lkn niki switch off my data haifanyi kazi, naomba muongozo wa jinsi ya kutumia hii app.
Soda niliomba mkagoma kutoa😬😬Jamani[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8].thanks a lot aloleta hii kitu.
Nipo nainjoy tu kwa kweli.barikiwa sana.
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7].
I wish nije nikupe sodaView attachment 2169034
Mkuu ec tunnel pro unatakiwa uwashe data kwanza, kwa line isiyo na data. Kisha ndio unaenda kuliwasha dude...Sasa mbn mm inagoma mpk niwashe data?
Zen data unaacha on? Mbn mm nmeacha data on baadaye nikaangalia zimeliwa kimtindo?Mkuu ec tunnel pro unatakiwa uwashe data kwanza, kwa line isiyo na data. Kisha ndio unaenda kuliwasha dude...
inasonga kama kawa
Zen data unaacha on? Mbn mm nmeacha data on baadaye nikaangalia zimeliwa kimtindo?
Mkuu naomba unieleweshe vzr ili namimi nipate kuuona ufalme, ni kwamba tayari nme download Ec tunnel na skyvpn, kwenye Ec tunnel nimepewa masaa 4 na kwenye skyvpn nmepewa 250mb ss naomba nieleweshe taratibu mkuu.Mkuu soma pole pole nilichikwandikia utanielewa
Kwa line isiyo na data nimeweka voda inagoma.Mkuu ec tunnel pro unatakiwa uwashe data kwanza, kwa line isiyo na data. Kisha ndio unaenda kuliwasha dude...
inasonga kama kawa
Kwa sasa achana na sky vpn maana wakuda wameshachoma utambi, tigo wameibana.Mkuu naomba unieleweshe vzr ili namimi nipate kuuona ufalme, ni kwamba tayari nme download Ec tunnel na skyvpn, kwenye Ec tunnel nimepewa masaa 4 na kwenye skyvpn nmepewa 250mb ss naomba nieleweshe taratibu mkuu.
Nmekusoma mkuu, leo nanunua line ya tigo kwa ajili ya mauaji[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa sasa achana na sky vpn maana wakuda wameshachoma utambi, tigo wameibana.
lets get back to ec tunnel pro.
unapaswa kuwasha data LINE ISIYO NA MB HATA MOJA.
LINE YA TIGO TU
acha data on, kisha nenda washa ec tunnel pro. Ikiwaka kutoka red kwenda green, utaona inaanza kuhesabu na ka alama ka funguo kanakuja juu. Hapo mambo fresh unaingi mtandaoni unapeta.
add time usiruhusu kubakiza muda.mdogo..
pia ukimaliza, zima Data na Zima Ec tunnel pro.
usipozima ec tunnel, muda utaisha bila matumizi.
Ukiwa na shida zaidi, watsap me 0744033555.
Feel Free uje hata bila sadaka[emoji120][emoji120]
Naona ec tunnel wameiacha tu.Nmekusoma mkuu, leo nanunua line ya tigo kwa ajili ya mauaji[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wamepiga pini protocol ya Fast Dns ila hiyo Slow Dns haina madhara kwao wameiacha coz hawawezi ifunga kabisa DNS/TCP port coz inatumika kwa mambo yao.Naona ec tunnel wameiacha tu.
sky iliwamaliza in a short time.
Pole połe ndio mwendo. Tunarudi nyumbani😅😅Mkuu tunaweza tukaona screen shot jinsi ulivyoweka settings zako, maana tunajaribu hivyo lakini bado inagoma je tunakosea kwenye settings labda
Cc@TigoTanzaniaJamani[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8].thanks a lot aloleta hii kitu.
Nipo nainjoy tu kwa kweli.barikiwa sana.
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7].
I wish nije nikupe sodaView attachment 2169034