Safi. Mitapeli inatakiwa kuanikwa kama hivi pambafPicha hizo..vipi nipost na TIN namba yake hizi zinatosha?View attachment 2713752View attachment 2713753View attachment 2713756View attachment 2713755View attachment 2713757View attachment 2713754View attachment 2713758View attachment 2713759View attachment 2713760
kazingua sana alafu ni mtu mzima..Safi. Mitapeli inatakiwa kuanikwa kama hivi pambaf
Umejuaje kama ni mtu mzimaa? Na id yake ni nani?kazingua sana alafu ni mtu mzima..
nimeona DP yake kwenye business wasap yake..no nina TIN yake tu sema nishampotezea achana nae.Umejuaje kama ni mtu mzimaa? Na id yake ni nani?
nimeona DP yake kwenye business wasap yake lakini pia yaweza kuwa ni profile tu..no nina TIN yake tu sema nishampotezea achana nae.
Namba ya nida si inaonyesha mkuu..Umejuaje kama ni mtu mzimaa? Na id yake ni nani?
Mkuu 6Mbps ambayo ni dedicated itakuwa na speed ya kuridhisha kweli kwa uzoefu wako?Post screenshot
Mkuu 6Mbps ambayo ni dedicated itakuwa na speed ya kuridhisha kweli kwa uzoefu wako?Post screenshot
6mbps mkuu unastream 1080p site zenye compression nzuri kama Youtube na Netflix, ama 720P site za kawaida.Mkuu 6Mbps ambayo ni dedicated itakuwa na speed ya kuridhisha kweli kwa uzoefu wako?
Nataka nivute hiyo
Lakini Mkuu dedicated si hata mkiwa 10 huwa haishuki speed?6mbps mkuu unastream 1080p site zenye compression nzuri kama Youtube na Netflix, ama 720P site za kawaida.
Kama unatumia tu wewe mwenyewe sio mbaya, inategemea tu na bei.
TTCL ulikwama kabisa?
Pole sana mkuu, ulisumbuana nao kwa muda gani hawa wazee wa kumenoga?Lakini Mkuu dedicated si hata mkiwa 10 huwa haishuki speed?
TTCL miyeyusho mpaka ilifika muda hadi ofisi yao wote wakawa wananijua. Nikifika tu mlangoni kila mtu anasema "we jamaa bado tu swala lako mpala leo halijatatuliwa"
TTCL nimeachana nao kumbe kuna brother wa mtaa anapiga mishe za installation ya hizi internet kwenye moja ya kampuni ambazo zinatumia microwave.
Kaniambia atanifungia dedicated ya Mbps6
Miaka miwiliPole sana mkuu, ulisumbuana nao kwa muda gani hawa wazee wa kumenoga?
Kwenye simu tumia post paid utaona gharama ni nafuu sana kuliko hizi vocha za kila siku.maisha ya sasa kila kitu bei iko juu! Si vifurushi vya simu si ving'amuzi Inakoelekea hali itakua ngumu kwa watanzania wa hali ya chini!
Kabisa naachana na mambo za vocha kila muda vifurushi vinabadilika!Kwenye simu tumia post paid utaona gharama ni nafuu sana kuliko hizi vocha za kila siku.
Dedicated ina maanisha tu mda wote utapata 6mbps haimaanishi mkitumia watu wengi (Nyumba moja) speed haishuki.Lakini Mkuu dedicated si hata mkiwa 10 huwa haishuki speed?
TTCL miyeyusho mpaka ilifika muda hadi ofisi yao wote wakawa wananijua. Nikifika tu mlangoni kila mtu anasema "we jamaa bado tu swala lako mpala leo halijatatuliwa"
TTCL nimeachana nao kumbe kuna brother wa mtaa anapiga mishe za installation ya hizi internet kwenye moja ya kampuni ambazo zinatumia microwave.
Kaniambia atanifungia dedicated ya Mbps6
WE ARE OPEN[emoji352][emoji91]
TIGO BUNDLES
1GB TSH 1800/=
GB 2 TSH 3600/=
GB 3 TSH 5400/=
GB 4 TSH 7200/=
GB 5 TSH 9000/=
GB 10 TSH 17500/=
GB 20 TSH 34,000/=
BUNDLE ZOTE NI MIEZI MIWILI*
Whatsapp no 0764982136
5G nyingi mkuu zina coverage ndogo sababu ya frequency kubwa wanazotumia,Chief-Mkwawa 5G coverage ya Airtel nayo ikoje, au ndo yale yale mpaka nikasimame posta mtaa fulani.
Hii hatariMiaka miwili