Vifurushi vya tigo Internet, ndio vinaisha kwa kasi kiasi hiki au ni wizi?

Vifurushi vya tigo Internet, ndio vinaisha kwa kasi kiasi hiki au ni wizi?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Jana usiku niliweka kifuruahi cha siku 7 cha net, sma na dakika ambapo nilipara MB 400 na nilitumia zaidi ku-browse ila nashangaa muda huu net imeanza kususua na kuangalia salio naona zimebaki MB 19 na point.

Sasa najiuliza hii speed ya bando kwisha ni haki au ni wizi?

Sidhani hata kama niliangalia video yoyote labda niseme ndio imechqngiq MB zangu kuporomoka kiasi hiki.

Tigo mjitafakari na muda huu nimenunua bando nyingine lakini huenda ndio ikawa mwisho wa kiutuma vifurushi vyenu.

This is too much!
 
Jana usiku niliweka kifuruahi cha siku 7 cha net, sma na dakika ambapo nilipara MB 400 na nilitumia zaidi ku-browse ila nashangaa muda huu net imeanza kususua na kuangalia salio naona zimebaki MB 19 na point.

Sasa najiuliza hii speed ya bando kwisha ni haki au ni wizi?

Sidhani hata kama niliangalia video yoyote labda niseme ndio imechqngiq MB zangu kuporomoka kiasi hiki.

Tigo mjitafakari na muda huu nimenunua bando nyingine lakini huenda ndio ikawa mwisho wa kiutuma vifurushi vyenu.

This is too much!
Kama unawalalamikia hivyo tigo wakati wengine tumetoka tulikotoka tukaona huku ndo kuna unafuu, basi tulia hukohuko usithubutu kuhamia voda, utavunja sim kwa hasira.
 
Jana usiku niliweka kifuruahi cha siku 7 cha net, sma na dakika ambapo nilipara MB 400 na nilitumia zaidi ku-browse ila nashangaa muda huu net imeanza kususua na kuangalia salio naona zimebaki MB 19 na point.

Sasa najiuliza hii speed ya bando kwisha ni haki au ni wizi?

Sidhani hata kama niliangalia video yoyote labda niseme ndio imechqngiq MB zangu kuporomoka kiasi hiki.

Tigo mjitafakari na muda huu nimenunua bando nyingine lakini huenda ndio ikawa mwisho wa kiutuma vifurushi vyenu.

This is too much!
Hatari sana mkuu. Mimi bando la wiki la 1.4GB nimeunga asubuhi ya jana limeisha jana hiyohiyo kwa kuperuzi tu
 
Hilo nililigundua kwenye Tigo na Airtel bando linaisha kama maji hata kama nikinunua 1GB yaani inaisha masaa tu.Tigo ukiwa hata na 50MB ku browse ni shida sana.

Ila nilivo switch bando kwenye Vodacom na Halotel hakika wapo vizur sana bando hata ukiwa na 5MB unaweza browse vizur tu JF na kwa muda mrefu bila kuangalia video.
 
Jana usiku niliweka kifuruahi cha siku 7 cha net, sma na dakika ambapo nilipara MB 400 na nilitumia zaidi ku-browse ila nashangaa muda huu net imeanza kususua na kuangalia salio naona zimebaki MB 19 na point.

Sasa najiuliza hii speed ya bando kwisha ni haki au ni wizi?

Sidhani hata kama niliangalia video yoyote labda niseme ndio imechqngiq MB zangu kuporomoka kiasi hiki.

Tigo mjitafakari na muda huu nimenunua bando nyingine lakini huenda ndio ikawa mwisho wa kiutuma vifurushi vyenu.

This is too much!
si ndio 5G hiyo gentleman,

au ulidhani kasi ya 5g ni kwaajili ya kufungua mambo mengine tu? :pulpTRAVOLTA:
 
Kifupi: Voda na Halotel cheza nao mbali kama uchumi ni wa kuungaunga.
 
Back
Top Bottom