EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
Tigo sio kabisa hawa aiseeUwongo uwongo uwongo...
Huo ni uwongooooo uwongoooooo huoooooo aaaah huo ni uwongo bana π π π π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tigo sio kabisa hawa aiseeUwongo uwongo uwongo...
Huo ni uwongooooo uwongoooooo huoooooo aaaah huo ni uwongo bana π π π π
Ndio mkuu, nilikaa sana IG na FB. ila hata kama sio kwa huo ulaji. Hawa jamaa wanatuibia sanaItakuwa unaangalia sana 'reels' za insta, TikTok, Fb, nk, na zipo addictive. Hizo humeza mb kama maji ya kunywa
Hii kitu ni uongo uliotukuka, ikiwa hivyo ina maana tumeanza kutumia App kwa kipindi hiki cha siku za karibuni ambacho bundle linakimbia sana?.Bacjground app hizo
Jana usiku niliweka kifuruahi cha siku 7 cha net, sma na dakika ambapo nilipara MB 400 na nilitumia zaidi ku-browse ila nashangaa muda huu net imeanza kususua na kuangalia salio naona zimebaki MB 19 na point.
Sasa najiuliza hii speed ya bando kwisha ni haki au ni wizi?
Sidhani hata kama niliangalia video yoyote labda niseme ndio imechqngiq MB zangu kuporomoka kiasi hiki.
Tigo mjitafakari na muda huu nimenunua bando nyingine lakini huenda ndio ikawa mwisho wa kiutuma vifurushi vyenu.
This is too much!
NENDA BACKGROUND APP.....WEKA OFF APP ZOTEJana usiku niliweka kifuruahi cha siku 7 cha net, sma na dakika ambapo nilipara MB 400 na nilitumia zaidi ku-browse ila nashangaa muda huu net imeanza kususua na kuangalia salio naona zimebaki MB 19 na point.
Sasa najiuliza hii speed ya bando kwisha ni haki au ni wizi?
Sidhani hata kama niliangalia video yoyote labda niseme ndio imechqngiq MB zangu kuporomoka kiasi hiki.
Tigo mjitafakari na muda huu nimenunua bando nyingine lakini huenda ndio ikawa mwisho wa kiutuma vifurushi vyenu.
This is too much!
Tunazungumzia kifurushi kukata kama upepo na si ubora/speed ya internet yao. Voda bundle la 1gb linayeyuka kama barafu juani!Vodacom umewasingizia copral, jitathmini.
Tigo Post paid zinakaa sana aisee.Ukitaka kuenjoy bando za Voda na Tigo, Voda tumia Supakas na Tigo lipia bando kwa Post Paid, ila hizi bando za buku mbili mbili au tano kwa mwezi utatumia hata laki 3
Inatumikaje hii?wengine wananunua cocha wwngine tunaingia mtandaoni bure[emoji24][emoji24][emoji24]
Hii Dunia ni msitu mnene
Tumia Tigo hio hio unapata free data ukiwa na hii vpn
mitandao mingine kaeni kwa kutuliaView attachment 3073268
Bichwaaaaaa ,πππππππππWe si hautaki tufunge ndoa niwe nakulea na kukuwekea vocha niwe shangazi wako mtiifu
Wewe wewe umeaminiTigo sio kabisa hawa aisee