Vifurushi vya tigo Internet, ndio vinaisha kwa kasi kiasi hiki au ni wizi?

Vifurushi vya tigo Internet, ndio vinaisha kwa kasi kiasi hiki au ni wizi?

Bacjground app hizo
Hii kitu ni uongo uliotukuka, ikiwa hivyo ina maana tumeanza kutumia App kwa kipindi hiki cha siku za karibuni ambacho bundle linakimbia sana?.

NO, huko nyuma app zlkuwepo na hakukuwa na kuliwa kwa kama hivi, ni kwamba kuna mazingira ya wananchi kupigwa na washika dau wapo kimya.

Kwa muda sasa hili limekuwa janga kwa watumiaji wote wa internet.
 
Jana usiku niliweka kifuruahi cha siku 7 cha net, sma na dakika ambapo nilipara MB 400 na nilitumia zaidi ku-browse ila nashangaa muda huu net imeanza kususua na kuangalia salio naona zimebaki MB 19 na point.

Sasa najiuliza hii speed ya bando kwisha ni haki au ni wizi?

Sidhani hata kama niliangalia video yoyote labda niseme ndio imechqngiq MB zangu kuporomoka kiasi hiki.

Tigo mjitafakari na muda huu nimenunua bando nyingine lakini huenda ndio ikawa mwisho wa kiutuma vifurushi vyenu.

This is too much!
Jana usiku niliweka kifuruahi cha siku 7 cha net, sma na dakika ambapo nilipara MB 400 na nilitumia zaidi ku-browse ila nashangaa muda huu net imeanza kususua na kuangalia salio naona zimebaki MB 19 na point.

Sasa najiuliza hii speed ya bando kwisha ni haki au ni wizi?

Sidhani hata kama niliangalia video yoyote labda niseme ndio imechqngiq MB zangu kuporomoka kiasi hiki.

Tigo mjitafakari na muda huu nimenunua bando nyingine lakini huenda ndio ikawa mwisho wa kiutuma vifurushi vyenu.

This is too much!
NENDA BACKGROUND APP.....WEKA OFF APP ZOTE
 
Vodacom umewasingizia copral, jitathmini.
Tunazungumzia kifurushi kukata kama upepo na si ubora/speed ya internet yao. Voda bundle la 1gb linayeyuka kama barafu juani!
 
Ukitaka kuenjoy bando za Voda na Tigo, Voda tumia Supakas na Tigo lipia bando kwa Post Paid, ila hizi bando za buku mbili mbili au tano kwa mwezi utatumia hata laki 3
Tigo Post paid zinakaa sana aisee.
 
Maisha ya me badilika na zama zimebadilika.Matumizi ya bando(data) ni uhitaji la binadamu kama mahitaji mengine. Makampuni ya simu msifanye data kama ni jambo la anasa.
 
Back
Top Bottom