Lakini sheria ya nchi hairuhusu mtu kujiuza , ukahaba ni uhalifu kama uhalifu mwingineHuu ni uvamizi mwingine alioufanya maeneo ya Riverside,ubungo majuma kadhaa yaliyopita.
View: https://m.youtube.com/watch?v=PSaLjqsORm8&pp=ygURRGMgYWthbWF0YSBtYWxheWE%3D
Waliokamatwa wamefikishwa mahakamani?Lakini sheria ya nchi hairuhusu mtu kujiuza , ukahaba ni uhalifu kama uhalifu mwingine
Ukiwa gesti na mwanaume na hamna cheti cha ndoa, unajiuzaHivi wanajuaje tofauti kati ya mtu alieenda hapo lodge na kahaba na yule alieenda na mpenzi wake kwenda kujipumzisha? Au hao wote wanakamatwa kwa kosa la "kujiuza?"
Unathibitisha vipi mahakamani kwamba huyu mtu tumemkamata gesti akiwa anajiuza? Umejuaje anajiuza?
Hii video itatumika kama ushahidi mahakamani.Habari zenu wana jamvi,
Katika pitapita huko mtandaoni nimeona taarifa ya operesheni anayoiendesha Mkuu wa wilaya ya Ubungo,Mh Hassan Bomboko ya kutokomeza biashara ya ukahaba. Takribani miezi miwili amekuwa akiendesha kampeni ya kamata kamata wanawake anaodai ni madada poa na vilevile wanaume wanaodaiwa ni wanunuzi wa makahaba na kama hiyo haitoshi amekuwa akizigungia hadi bar mbalimbali zilizoko Ubungo na Sinza kwa madai ya kwamba zinawahifadhi makahaba.
Swali langu tu, Je anatumia vigezo gani kuingilia faragha za watu ndani ya nyumba za kulaza wageni kama vile lodge? Katika video iliyorushwa na Millard Ayo imeonesha akivamia lodge inayofahamika kama PR na kufungua vyumba vyote na kuwatoa watu katika faragha zao kwa madai kuwa ni makahaba na wanunuzi. Je hii ni sawa?
Pia amekuwa akizifungia lodges, je anataka wamiliki wa lodges wawe wanafanya kazi ya polisi kuhoji kazi ya kila mtu anayekwenda kuhitaji kupatiwa chumba cha kulala?
Vp ikiwa mtu amekwenda kupata faragha na mwenza wake katika hizo lodge halafu yeye anavamia na kuwaita watu ni makahaba na wanunuzi wa makahaba?
Kwa hali hii amefungia hadi Bar mbalimbali Sinza kwa kigezo cha kutopuga marufuku makahaba, je hawa wamiliki wanahusika vipi na masuala ya kufahamu kazi za watu?
Haoni kama anawatafutia hasara za kimapato hao wamiliki wa bar na lodges kutokana na kufungia biashara "halali" zinazoingizia Mapato serikali ya Rais Dr Samia Suluhu Hassan.?
Chanzo: Millard AyoTv
akili zako ndogo....unatukana mpaka wazazi wako bila kujua.Ukiwa gesti na mwanaume na hamna cheti cha ndoa, unajiuza
Ushahidi wa kosa la uzembe na uzururaji (vagabond) siyo lazma uthibitishwe wanauza miili, ukahaba upugwe vita jamii inaharibika watoto wanakua wakiona machangudoa wamevaa chupi wanajiuza, wasiposhughulikiwa ipo siku extremists watawashughulikia. Hakuna haki ya faragha ktk uhalifu, wakitaka sheria inayozuia ukahaba ifutwe bungeni, kwa sasa wanaohisiwa wakamatwe wawekwe ndani wahojiwe wakiona inafaa wapelekwe mahakamani. Kazi iendelee.Sasa wakiwapeleka mahakamani watatumia ushahidi upi, kuwa hawa ni wauza miili yao,?
Kuna vizazi vinaishi Bila cheti cha ndoa hadi wanazeeka wamezaa watoto kuna wajukuu na vitukuuUkiwa gesti na mwanaume na hamna cheti cha ndoa, unajiuza
Labda wazazi wakoakili zako ndogo....unatukana mpaka wazazi wako bila kujua.