I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Wakuu,
Naomba kupata mwanga kidogo juu ya vigezo ambavyo nchi fulani duniani huchukuwa kuongeza thamani au pesa mpya katika mzunguko wa kiuchumi. Mfano, tuchukulie labda Tanzania hapa; inawezekana kuna kipindi kulikuwa hakuna pesa au noti ya shilingi 10,000 ila baadaye ilitambulishwa na kuanza kutumika.
Ni vigezo gani na hatua zipi zilifuatwa?
Naomba kupata mwanga kidogo juu ya vigezo ambavyo nchi fulani duniani huchukuwa kuongeza thamani au pesa mpya katika mzunguko wa kiuchumi. Mfano, tuchukulie labda Tanzania hapa; inawezekana kuna kipindi kulikuwa hakuna pesa au noti ya shilingi 10,000 ila baadaye ilitambulishwa na kuanza kutumika.
Ni vigezo gani na hatua zipi zilifuatwa?